Hivi unamshushaje Diamond?! Au Mnamaanisha Wasanii Wapya wa WCB?!

Tatizo sio wanawake ila ni wivu wa maendeleo yake ,hawajaamini,kwa kipindi kifupi amekuwa bonge la msanii duniani sasa hizo ni figisu ,kaza buti mondi simbaa
 
Kuhusu suala la karanga, it's a matter of time na ukweli usio na shaka utajulikana!

Kuhusu Kusaga... kwanza ifahamike Joseph Kusaga personally is very close to Diamond kuliko hata Ruge alivyo kwa Diamond. Ndo maana wakati mwingine huwa napata shaka sana kuamini kinachoendelea. Na ukaribu wa Kusaga na Diamond ni wa kibiashara na fursa kwa sababu hapa kila mmoja anaifahamu potential ya mwenzake.

Sisemi Clouds hawana mchango kwa Diamond lakini tunaweza kuwachukia akina Tale tupendavyo lakini ukweli ni kwamba Diamond amefika pale kutokana na:-
1. Diamond mwenyewe kwa sababu ni hardworker
2. Tale na Fella wanazifahamu sana fitina za Bongo Flavor na ndio maana hawajawahi kufeli.
3. Sallam nae ni very hardworking and aggressive katika kupata anachokitaka... tatzo lake Jazba
4. Hapa ndipo wanakuja Clouds kwa nyuma kama wadau. Na pia hapa walikuwa wanavuna sana akili za akina Ruge na Joe kuhusu nini cha kufanya.

Lakini kama kuna mtu anaamini Clouds ndio kila kitu na kama sio Clouds Diamond asingefika hapo alipo, waanze kujiuliza kwanini hao Clouds wasifanye walichofanya kwa Diamond kwa wasanii wao?

Kuna Barnaba Classics: One of the best musician in Tanzania... kwanini wanashindwa kumfikisha alipofika Diamond?
Kuna Dogo Ditto>>> Ni nani anaweza kutia shaka juu ya uwezo wa Ditto Tanzania hii?

Hao wawili naamini wana uwezo pengine kuliko Diamond na wote hao wapo kwenye direct "management" ya Ruge. Na ukiacha hao, ukifika pale THT, kuna wasanii kibao tu. Na kuonesha Ruge yupo serious na THT, huwa anawaandikia hadi nyimbo!
 
Diamond ana super star swaga ambazo kina barnaba hawana.. ndio maana ruge anapagawa...

Diamond mbagala tu swaga zake kama katoboa vile kumbe ndio anaaza... kwenye mbagala romy jones ndie amekuwa kama aliyempora diamond mke kwenye video yaani wana swaga...

barnaba anachojua ni kuimba tu ila hana swaga

 
 
Halafu nasikia Diamond kipindi anahustle jinsi ya kutoka alipita THT akawa rejected na kina Ruge[emoji1] [emoji1] , napata mashaka na uwezo wao wa kutambua vipaji
 
Ni kwamba, Barnaba hana celebrity touch ambayo ni muhimu sana kwenye entertainment industry!
 
Alishuswa Sugu aliyeanzisha Hiphop..
Alishushwa TID aliyekuwa nyota hatare..

Ashindikane Diamond..

All in All hakuna anayetaka kumshusha kaona yemwenyewe anashuka anasingizia watu wanataka kumshusha..
Sijui kama unafuatilia mziki au unaongozwa na uteam...hivi sugu na t.i.d unaweza kuwafananisha na nguvu aliyonayo diamond?sugu au t.id anaweza kufunga mtaani hata kenya hapo au kariakoo pale??dogo acha chuki tembea na facts
 
Diamond kawapita akili na management nzuri...sio kuimba...na waambia kila siku watu kwamba mtu mnayemfananisha na diamond lzm awe na akili kwanza achana na kipaji chake
 
Kua na wanawake wengi ni ishara ya mwanaume mwenye pesa nyingi ova
 
hiv mikataba ya mond ni ipi mi najua wa coca tu kuna anayeweza kuorodhesha mingine?
 
chige nakuelewa sana, hii ni mara ya pili nakuwa kwenye discussion ambayo upo, una jinsi unavyofikisha taarifa kwa ufafanuzi mzuri.

Umekiri kwamba Mbosso anatangazwa sana kupita mwana WCB yeyote, ni kweli hii kitu nimeiona nikawaza kwamba WCB (especially Mkubwa Fela) watakuwa walifanya fitna za Asley asipewe promo kama ambavyo imekuwa kwa yeyote anayegombana na Fela, sasa Clouds wakagoma, kwa hiyo ili ku-counter inabidi waje na kumpromote Mbosso ili alete upinzani.

Mbosso tumempokea lakini hana kipaji kabisa, hawezi simama kabisa kwa Asley, hata kwa Beka anasubiri. Sasa baada ya kuona hili zoezi linaonekana kutumia gharama kubwa zaidi ya majibu nadhani ndo hapo Sallam kapanic, anaandika jumbe za kijinga jinga.
 
Unataka uchume peke yako mungu hapendi

Eeeeh
Kuchuma nini peke yangu!? Mimi hapana elewa wewe... Ni mfano mubaya kuwa anafanya kazi kwa bidii.. vizuri.. ila hajui kujiheshimu ikija kwa wanawake.. mfano mubaya kwa watoto wake pia.

Mtu alichekwa hazai wanatoa mimba zake.. akaja pata a lady akamfuta machozi... hakusubiri hata miaka ipite huyo anamcheat na kuzaa na wanawake wengine.. likazae hata mia.. ila hawezi kufuta kwamba Zari alimvusha daraja kuwa alipo now hata kimataifa kwa yote na family yake wakabadilika na fikra. Sister na Mama ake walajua kuwa kunakujipenda na kuwa smart etc... likae hukoooooo.. nyimbo my boys wakikumbna nae youtube watamsikiliza wenyewe.
 
Hlf nyie wanawake ndo mnahasira sana na Diamond kuwa na wanawake wengi. Mnasahau wanaume wengi ni polygamous kiasili, Diamond atakuwa anawanawake wengi zaidi ya wanaofichuka na sidhan kama anataka ijulikane hivyo but wao wanawake ndo wanataka kujulikana wametoka naye. Kingine kama Zari ataendelea kuishi mbali na mmewe basi Mondi sidhan kama ataweza kuvaa boxer ya chuma. Cheki mfn Harmonize mzungu wake kamganda hapati ata nafasi ya kuchepuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…