Hivi unamshushaje Diamond?! Au Mnamaanisha Wasanii Wapya wa WCB?!


Mbona kuna mengi zaidi ya hayo ya wanawake wengi..
 
Kuna watu wengi tu hawasikilizi Clouds na muda mwingi hushinda kwenye mitandao na ni mashabiki wazuri sana wa muziki. Kwa sasa nafasi ya kituo cha redio kumshusha mwanamziki mkubwa kama Diamond kibiashara ni negligible.
Hata Ali hawezi kushushwa ingawa kwa asilimia kubwa alipigiwa upatu na Clouds.
Kama Clouds wanafanya haya wao ndio watashuka .
Malipo ni hapa hapa!
 
Halafu nasikia Diamond kipindi anahustle jinsi ya kutoka alipita THT akawa rejected na kina Ruge[emoji1] [emoji1] , napata mashaka na uwezo wao wa kutambua vipaji
Hahaa, km BSS ilivyomwambia Harmonize kuwa hana kipaji afu wakampiga chini
 
Kua star hakumpunguzii yeye kua mwanadam hapo kazaa angekataa mimba hizo mngesemaje na kabla ya kumunyooshea kidole ushajiona mwema??? An kuhusu zari nahis kuna jambo anamis kama mwanamke kamaili anashindwaje kumtuliza kijana
 
WAFU WA CLOUDS MNACHOOGOPA NINI?
nyie si mnaweza vita ?pambaneni.
 
chige

Mbosso tumempokea lakini hana kipaji kabisa, hawezi simama kabisa kwa Asley, hata kwa Beka anasubiri. a.

kwani kipimo cha kipaji cha mboso ni aslay? why ujio wake mnauusisha na aslay au mlitaka uyu dogo asiimbe aendelee kulima yeye akiimba anampunguzia nn aslay wakat kila mtu na rizk yake...ok unasema mbosso hana kipaj ila unasisitiza mtu asie na kipaji uwez kosa ucngz kwa ajili yake ukiona unapagawa ujue umeona kitu ndan yake
 

Mkuu hayo ni mawazo yangu, hakuna mahali nimesema kwamba mawazo yangu ni sheria.
 
Alishuswa Sugu aliyeanzisha Hiphop..
Alishushwa TID aliyekuwa nyota hatare..

Ashindikane Diamond..

All in All hakuna anayetaka kumshusha kaona yemwenyewe anashuka anasingizia watu wanataka kumshusha..
Jana hata Sam misago aliweka mada kuptia Friday night live kwamba je msanii anaweza kuwa mkubwa kuliko media kwa statistics kubwa ya wachangiaj walisema haiwezekan msanii kuwa mkubwa bila media na ni kwel maana media ndo ilyokutoa na kukupeleka kwa fans ulionao sasa....kikubwa wasaf waweke mambo sawa clouds na eatv kama kuna any misunderstanding
 
Ahahaaaaaaaaaaah...
Mbosso hana kipaji kabisa..!?
Seriously..!?
Hata Aslay na Beka wakiona comment yako watacheka sana..!
 
cocochanel: you are a great thinker! i appreciate your comment, nami nilikuwa fans mkubwa wa diamond ila hii tabia ya kubadilisha/kutotulia kuna ule ufans unapungua kidogo kwakwe.
 
Diamond is above the talk, unstoppable!
 
Diamond anapoteza fans? Mbona mnachekesha, mwenzenu anafungua mlango wa soko la amerika na ulaya huku nyinyi mnajitekenya!
 
ao wanawake wake na mziki wake wapi na wapi?
 
Diamond anapoteza fans? Mbona mnachekesha, mwenzenu anafungua mlango wa soko la amerika na ulaya huku nyinyi mnajitekenya!


Wewe umewauliza wa huko nje how!? Ndio anapoteza ajireke
Hili halibishiki lipo.. hata atumbue wapi ila ukweli ni anawapoteza hata huko kama insta and co inaonekana wazi
ao wanawake wake na mziki wake wapi na wapi?

Aiseeeeee😱
 
Ni ngumu sana kumshusha ingawaje hakuna kinachoshindikana.
 
Kuanzia dakika ya 26:50 anazungumzia kuhusu kubaniwa nyimbo zake na media.

 
Kuanzia dakika ya 26:50 anazungumzia kuhusu kubaniwa nyimbo zake na media.

Kijana anajua kujieleza...
Ila wasafi tv na wasafi radio ni kama kavitaja kwa wasiwasi fulani hivi..!

Ila yote kwa yote,kumshusha huyu kijana na WCB yake si kazi rahisi..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…