Hivi unamshushaje Diamond?! Au Mnamaanisha Wasanii Wapya wa WCB?!


Sasa wanawake wa kawaida ndio wanaongea kipato? By the way, hata Bob Marley alikuwa na wanawake lukuki lakini tunasikiliza muziki wake mpaka leo.
 
Kijana anajua kujieleza...
Ila wasafi tv na wasafi radio ni kama kavitaja kwa wasiwasi fulani hivi..!

Ila yote kwa yote,kumshusha huyu kijana na WCB yake si kazi rahisi..!
Dogo kama ameandaliwa kuubeba umaarufu na ndio maana interview zake anajitahidi kuzitendea haki maana watu wengi wakiwa maarufu huwa wanashindwa kuendana nao, kuanzia dakika 23 amejibu vizuri swali flani hivi
 
Zamani nyuzi ka hii ya kumhusu mondi ilikua inakula page kibao kwa wachangiaji sikuhizi giza tupu kuna kitu hakijakaa sawa
 
Na kaenda kuzindua album kule kule ambako nyimbo zinanunuliwa!
 
Alishuswa Sugu aliyeanzisha Hiphop..
Alishushwa TID aliyekuwa nyota hatare..

Ashindikane Diamond..

All in All hakuna anayetaka kumshusha kaona yemwenyewe anashuka anasingizia watu wanataka kumshusha..
Acha kuishi kwa kukariri
Chige amefafanua vizuri kabisa kwamba Diamond akiachia kazi youtube,ana uhakika wa views milioni moja ndani ya saa 24,huyo mtu ytamshusha vipi au atashuka vipi wakati hategemei redio zenu za kuminyana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…