technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mzee wangu nyoka kibisa..Mkuu usiogope ukimaliza na walevi utaanza na kuwakandia wanawake waliosoma, wenye kazi zao, waliokwisha jipata hizo ni dalili za uoga na kutojiamini
Umewahi kudate na mwanamke mlevi? Kwanza kama huna pumzi usijaribu vivyo hivyo kwenye ndoa akishagonga vitu ni show show kwa kwenda mbele au unataka kusema atalewa kila wakati ashindwe hata kukupikia? Mbna kina manka kibao wanadrive na kuhandle familia zao na muda huo huo wanagonga gambe kama kawaida.
Sasa kumgonga mwanamke aliye lewa hauwezi?Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?
Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad
Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama
Sasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa
Binafsi mwamke mlevi hata kumgonga tu Kama amelewa siwezi!!!
Hii reply yako inathibitisha kuwa mwanamke mlevi ni malaya piaMkuu usiogope ukimaliza na walevi utaanza na kuwakandia wanawake waliosoma, wenye kazi zao, waliokwisha jipata hizo ni dalili za uoga na kutojiamini
Umewahi kudate na mwanamke mlevi? Kwanza kama huna pumzi usijaribu vivyo hivyo kwenye ndoa akishagonga vitu ni show show kwa kwenda mbele au unataka kusema atalewa kila wakati ashindwe hata kukupikia? Mbna kina manka kibao wanadrive na kuhandle familia zao na muda huo huo wanagonga gambe kama kawaida.
Kuna mnywaji na mlevi...two distinct things.Mwanamke mlevi ndo mwanamke wa hovyo zaidi duniani
Umalaya ni hulka Wala haiusiani na ulevi..Hii reply yako inathibitisha kuwa mwanamke mlevi ni malaya pia
Kitendo cha kuonja kilevi kwa hiyari yako wewe tayari ni mleviKuna mnywaji na mlevi...two distinct things.
Lakini mwanamke mlevi hawezi kukosa hulka ya umalayaUmalaya ni hulka Wala haiusiani na ulevi..
Mkuu,Kitendo cha kuonja kilevi kwa hiyari yako wewe tayari ni mlevi
Mlevi ni mtu wa hovyo hata mtoto wa miaka miwili analifahamu hiloMkuu,
Napenda kujua ni Nini kimefanya umekua na negativity kwenye vileo tupe story kidogo..
Alcohol is for champion's, washindi wa vita, wafalme na wote wenye busara na for years ndio walio ijenga hii dunia unayo Iona.
Unakariri maishaLakini mwanamke mlevi hawezi kukosa hulka ya umalaya
Ndege wafananao.......Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?
Mlevi ni mtu wa hovyo hata mtoto wa miaka miwili analifahamu hilo
Mshangae na wewe😊Unakariri maisha
Hakikisha unasali sala za JumuiyaNataka nioe bamedi mnanishaurije waungwana
Kwan sisi wanaume tunataka nini? Mzee kila moja abaki na chaguo lakeHii reply yako inathibitisha kuwa mwanamke mlevi ni malaya pia