Hivi unaoaje mwanamke mlevi?

Hivi unaoaje mwanamke mlevi?

Aione lucha
Screenshot_20241112-172403.png
 
Ila wananyegeka vizuri sio poa...na wakishanyegeka balaa lake sio poa!

Asiwe mlevi, awe mnywaji tu wa kawaida, sio kila siku kunywa tu, ila once once hivyo!
 
Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?

Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad

Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama

Sasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa

Binafsi mwamke mlevi hata kumgonga tu Kama amelewa siwezi!!!
Bora mlevi kuliko mvuta fegi.
 
Wale wanawake walevi wanaokesha bar na kwenye kumbi za starehe hadi saa 8 usiku, Wanafaa kutmbwa tu na sio kuolewa ,ukioa kubali kugongewa anytime kwanza huwa wanarundo la masela eti marafiki
 
Back
Top Bottom