Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
Yeaaah mzeeMzee wangu nyoka kibisa..
Umeeleza vyema kabisa wanapiga gambe na Wana drive safe nimeshuhudia Hilo.
Zitanisaidiaje ndugu fafanuaHakikisha unasali sala za Jumuiya
Zitasaidia padri asiikatae maombi yako ya kufunga ndoa.Zitanisaidiaje ndugu fafanua
Mi sitaki ndoa ya kanisaniZitasaidia padri asiikatae maombi yako ya kufunga ndoa.
Mimi nataka uwe na ndoa ya kanisanMi sitaki ndoa ya kanisani
Bora mlevi kuliko mvuta fegi.Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?
Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad
Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama
Sasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa
Binafsi mwamke mlevi hata kumgonga tu Kama amelewa siwezi!!!
Mi napiga ya kimilaMimi nataka uwe na ndoa ya kanisan
Weita ongezea nne bili nalipa Mimi😊☺️Wàiter lete safari mbili baridi
HaitawezekanaMi napiga ya kimila
Unajua maana ya mtu mlevi?
Hana totauti na barmaid tu, umalaya lazima.Lakini mwanamke mlevi hawezi kukosa hulka ya umalaya
Jamaa ana-confuse kati ya mtu mlevi vs mtu anayekunywa pombe.Mlevi ni mtu wa hovyo hata mtoto wa miaka miwili analifahamu hilo
Ila inasemekana huyu hanywi pombe bhana.Aione luchaView attachment 3150415
Kwa niniHaitawezekana