Hivi unapima mtoto 'DNA' ili iweje?

Hivi unapima mtoto 'DNA' ili iweje?

Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
Mtoto ana haki ya kumjua baba yake
 
Halijakukuta Bado...the man is right..unapokuwa na mashaka na mtoto Sio dhambi kuthibitisha Hilo...wengi wamekufa kwa presha baada ya kuwalea watoto ambao walijua Ni wao..na mwsho wa siku walipopata kazi Mama zao wakaawambia ukweli...kuwa Sio biological father..
 
Halijakukuta Bado...the man is right..unapokuwa na mashaka na mtoto Sio dhambi kuthibitisha Hilo...wengi wamekufa kwa presha baada ya kuwalea watoto ambao walijua Ni wao..na mwsho wa siku walipopata kazi Mama zao wakaawambia ukweli...kuwa Sio biological father..
Sasa hapo mwenye shida ni nan mkuu
 
Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
hakusikiljze wewe nani maamuzi ni yake sio lazoma
 
Yaani mwanamke afanye maupumbavu yake huko na wapumbavu wenzake apate mimba then akutwishe mizigo wew usiyehusika kwa kukudanganya kuhusu mimba na uanze, kulea kitu kisicho chako inamake sense kweli?

Acha kupotosha watu, hilo suala halikubaliki kabisa mahala popote iwe kidini, kichawi sijui kishirikina na kisayansi halipo acha watu waendelee kupima DNA wanawake wamewachezea sana wanaume kwa kuwakabidhisha wanaume mizigo isiyo yao na mitoto isiyo ya damu zao matokeo yake mitoto hiyo ikikuwa inawatafuta baba zao OG uku ikiwakana baba waliowalea.

Huu upuuzi ufike mwisho sasa.
 
Pole mkuu hauko Peke yako,naona unavyojitekenya na kucheka mwenyewe,anyway ukihisi mtoto sio wako kuna asilimia mia ikawa kweli.c'est la vie
 
Mi mwanamke akiniambia mimi ndio baba wa mtoto siwez kubisha nitalea tu
Na akitokea mwanaume mwingine akadai ni wake na akakupeleka kwenye mamlaka anataka damu yake, hautakubali kupima?
 
Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
watu kama wewe ikikutokea mke ametoka huko na washenzi wake kisha akazaa mtoto, ukajua, utamuua.

Kupima mtoto kama una mashaka si dhambi wala kosa. kama ana mashaka mwache akapime kuepuka vurugu zinazoweza zikajitokeza baadaye. Fikiria baada ya muda wakihitilafiana na mkewe kisha mkewe amwambie kuwa hata huyu mtoto si wako! unadhani nini kitatokea? au baada baba halisi wa mtoto atokee?
 
Wewe unamjua baba yako halisi?
Na je utatamani siku ukiambiwa sio yeye kumjua huyo utakeambiwai ni halisi?
Ndiyo namjua.! Tumefanana kama nyanya, DNA pia ilishapimwa mbali na hivyo. Huenda wewe ndiyo ukawa humjui baba yako.
 
Ni rahisi mno tofauti na unavyo fikiri labda mwenye mtoto awe hajaamuwa tu.
Mm kwa upande wangu siwezi mpima mtoto DNA kwa sababu kwanza huo muda na gharama za kufanya hivyo sintakuwa navyo lakini vikitokea viashilia vya wazi vinavyo onesha kuwa huyo mtoto sio wangu kwakweli siwezi kuvumilia upumbavu namtimua huyo malaya na mtoto wake.

Mwanamke uliye mtolea mahali ukamuoa na unashinda juani kumuhangaikia yeye ale na avae vizuri, alale pazuri alafu akaenda kubeba mimba ya mtu mwingine na uenyewe ana kuletea ndani ya nyumba yako na yenyewe ulee hali yakuwa na ww una uwezo wa kuzalisha aisee hiyo ni dharau ya kiwango kisicho elezeka.
Naunga mkono hoja[emoji1666]
 
Mwanamke akasema mtoto ni wangu nikajitoa kwake akija mjinga mwingne akisema ni wake ata kma kweli ni wake sitamwelewa ata kidgo ,wanadamu wote ni ndugu.
 
Back
Top Bottom