Hivi unaweza kuendeleza mapenzi kwa mwanamke muongo?

Hivi unaweza kuendeleza mapenzi kwa mwanamke muongo?

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Guys kiukweli mwanamke muongo anaumiza sana,,, Binafsi nasema toka moyoni siwezi kuendeleza dating na demu niliyemgundua dhahiri kuwa ni Muongo, kwanza sifa ya kwanza ya mwanamke Muongo ni MALAYA na zingine nyingi kedekede..

Binafsi mwezi wa 12 uliopita nimeamua kuvunja uhusiano kabisa na Mrembo mmoja niliyekuanae ndani ya kipindi kifupi tu, ukweli ni kuwa Huyu binti ni MUONGO tena sana, anaweza kuaga kuwa anaenda mji jirani kwa Shangazi wake kumbe amekwenda sehemu nyingine anayeijua yeye, sasa kama mtu uko honest kabisa na safari zako au milolongo yako kwanini udanganye..? Ndo inaonesha dhahiri kabisa kuwa ni msaliti why hasiseme kweli, Ila hata hvyo nilishazifahamu mingimingo zake zote kwa sababu me mwenyewe ni mtoto wa mjini pia.

Siku moja nikamchana live nikamuambia siwezi kuwa na msichana muongo kama ww, mwanamke muongo ni muuaji kabisa.

Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
 
Kuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
 
Kuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
Maamuzi ya kiume, ulifanya vizuri mkuu. Mwanamke muongo hafai kabisa. Nshakuwa na pisi moja ikawa inandanganya inaenda kanisani mkesha kumbe anaenda kufanya ushenzi, za mwizi ni 40 na ilipofika hiyo 40 yake hata hakukuwa na haja ya kumuuliza alijishtukia mwenyewe na kuanza kulia na kuomba msamaha, nikapiga chini akalia for 3 days bila kuona mabadiliko akajiondokea zake.
 
Guys kiukweli mwanamke muongo anaumiza sana,,, Binafsi nasema toka moyoni siwezi kuendeleza dating na demu niliyemgundua dhahiri kuwa ni Muongo, kwanza sifa ya kwanza ya mwanamke Muongo ni MALAYA na zingine nyingi kedekede..

Binafsi mwezi wa 12 uliopita nimeamua kuvunja uhusiano kabisa na Mrembo mmoja niliyekuanae ndani ya kipindi kifupi tu, ukweli ni kuwa Huyu binti ni MUONGO tena sana, anaweza kuaga kuwa anaenda mji jirani kwa Shangazi wake kumbe amekwenda sehemu nyingine anayeijua yeye, sasa kama mtu uko honest kabisa na safari zako au milolongo yako kwanini udanganye..? Ndo inaonesha dhahiri kabisa kuwa ni msaliti why hasiseme kweli, Ila hata hvyo nilishazifahamu mingimingo zake zote kwa sababu me mwenyewe ni mtoto wa mjini pia.

Siku moja nikamchana live nikamuambia siwezi kuwa na msichana muongo kama ww, mwanamke muongo ni muuaji kabisa.

Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
Umeshasema ni muongo.. why unataka kuendelea nae? Dump that bitch
 
Maamuzi ya kiume, ulifanya vizuri mkuu. Mwanamke muongo hafai kabisa. Nshakuwa na pisi moja ikawa inandanganya inaenda kanisani mkesha kumbe anaenda kufanya ushenzi, za mwizi ni 40 na ilipofika hiyo 40 yake hata hakukuwa na haja ya kumuuliza alijishtukia mwenyewe na kuanza kulia na kuomba msamaha, nikapiga chini akalia for 3 days bila kuona mabadiliko akajiondokea zake.
Hatari sana kuna na mtu muongo kwenye mahusiano. Ukishaona mtu ni muongo ujue ni malaya hivi vitu viwili haviachani. Hongera sana
 
Kuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
[emoji3][emoji3]
 
Guys kiukweli mwanamke muongo anaumiza sana,,, Binafsi nasema toka moyoni siwezi kuendeleza dating na demu niliyemgundua dhahiri kuwa ni Muongo, kwanza sifa ya kwanza ya mwanamke Muongo ni MALAYA na zingine nyingi kedekede..

Binafsi mwezi wa 12 uliopita nimeamua kuvunja uhusiano kabisa na Mrembo mmoja niliyekuanae ndani ya kipindi kifupi tu, ukweli ni kuwa Huyu binti ni MUONGO tena sana, anaweza kuaga kuwa anaenda mji jirani kwa Shangazi wake kumbe amekwenda sehemu nyingine anayeijua yeye, sasa kama mtu uko honest kabisa na safari zako au milolongo yako kwanini udanganye..? Ndo inaonesha dhahiri kabisa kuwa ni msaliti why hasiseme kweli, Ila hata hvyo nilishazifahamu mingimingo zake zote kwa sababu me mwenyewe ni mtoto wa mjini pia.

Siku moja nikamchana live nikamuambia siwezi kuwa na msichana muongo kama ww, mwanamke muongo ni muuaji kabisa.

Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
Mkuu naomba namba yake inbox[emoji1431]..

Skikutana na mkulungwa akili zitamkaa Sawa tuu na atatulia

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Kuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
Hakuna mwanamke peponi
 
Kama hicho ni kigezo basi sahau kuwa na mahusiano Tanzania au urafiki kwa ujumla kwani Watanzania (karibia) wote ni waongo mpaka mzazi utakuta muongo hata pale ambapo wakati mwingine hakuna hata sababu ya kudanganya, mzazi anadanganya mtoto, mtoto analelewa kwa akiamini kusema uongo ni kawaida na yeye anasema uongo inaendelea hivyo na sababu ni kwamba watu wengi ni wavivu hivyo kudanganya ni njia rahisi ya kuishi kwa muda mfupi lakini.
Wakati mwingine huwa najiuliza hata kama kuna haja yoyote ya kumuuliza mtu swali kwa maana jibu lake ni la uongo tu.
 
Back
Top Bottom