Hivi unaweza kuendeleza mapenzi kwa mwanamke muongo?

Hivi unaweza kuendeleza mapenzi kwa mwanamke muongo?

Hapa Kuna point kabisa mkuu,, mwenyewe nakubali kabisa.. maana sasa nishamtoa kwenye malengo yangu sasa kilichobaki ni kuendelea kumtafuna Sina mda na calls zake, meseji zake wala safari zake akili kichwani kwangu..
 
Guys kiukweli mwanamke muongo anaumiza sana,,, Binafsi nasema toka moyoni siwezi kuendeleza dating na demu niliyemgundua dhahiri kuwa ni Muongo, kwanza sifa ya kwanza ya mwanamke Muongo ni MALAYA na zingine nyingi kedekede..

Binafsi mwezi wa 12 uliopita nimeamua kuvunja uhusiano kabisa na Mrembo mmoja niliyekuanae ndani ya kipindi kifupi tu, ukweli ni kuwa Huyu binti ni MUONGO tena sana, anaweza kuaga kuwa anaenda mji jirani kwa Shangazi wake kumbe amekwenda sehemu nyingine anayeijua yeye, sasa kama mtu uko honest kabisa na safari zako au milolongo yako kwanini udanganye..? Ndo inaonesha dhahiri kabisa kuwa ni msaliti why hasiseme kweli, Ila hata hvyo nilishazifahamu mingimingo zake zote kwa sababu me mwenyewe ni mtoto wa mjini pia.

Siku moja nikamchana live nikamuambia siwezi kuwa na msichana muongo kama ww, mwanamke muongo ni muuaji kabisa.

Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
 
Eeeeh jamani kwa msichana yule tu nimeshindwa japo yuko vizuri kitandani na anajua kuzungusha kiuno ila hapana wacha niende zangu ataniua siku si zangu wallah
Hyo verse imekufurahisha..?
 
Kwenye hili wahanga ni wengi sana.

Hapa ngoja niwaandikie hiki kituko.

Kuna hiyo manzi nilitokea kuikubali ile mbaya basi mipango ya kimaisha ikafanyika.

Baada ya muda ikasema ina mimba. Siku zilienda ikajifungua. Niligundua mtoto hakuwa wangu baada ya kutunza mimba tangu ikiwa changa miezi ya awali kabisa.

Kumbe sikujua bado alikuwa na misje zake hata baada ya kuja kwenye maisha yangu. Mtoto akamuumbua maana alizaliwa akiwa anafanana na baba yake balaa.
 
Back
Top Bottom