Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuu,,, hatari sanaNi hatari sana muogope kama ukoma mwanmke wa namna hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu,,, hatari sanaNi hatari sana muogope kama ukoma mwanmke wa namna hiyo
Mapenzi yanatesa mkuu kila uchwao na wengi wanateseka si Persists si bourgeoisHalafu mje mseme kenzy tu ndo nagalagazwa na mapenzi hamumuoni huyu..?
Pole ndugu ndo maisha hayo[emoji3]
Yaaaah, ndo kawaida Yao sasa nawe ukijiongeza kidogo tu unamkamata.. mademu hawa ni pasua kichwaKuna malaya mmoja nilikaa nae nikijua kabisa sio...kuna siku aliniaga anaenda kumuangalia mgonjwa uzuri mimi nilienda pia hiyo hospital nikampigia simu akanipanga nikajua huyu ni muongo acha leo nimtimue. Nikarudi nyumbani akanipigia cm akadai kaambiwa alale na mgonjwa nikamwambia poa endelea kukaa na mgonjwa mpaka apone ndio urudi. Mchezo ukaishia hapo siku iliyofuata akaja kubeba virago vyake.
Nioneshe sentensi niliyoandika nataka kuendelea nae...Umeshasema ni muongo.. why unataka kuendelea nae? Dump that bitch
Nilishaacha kitambo kuwa mtumwa wa mapenzi kabisa akiwepo sawa akizingua unamzingua zaidi.Yaaaah, ndo kawaida Yao sasa nawe ukijiongeza kidogo tu unamkamata.. mademu hawa ni pasua kichwa
Tulia wewe, una jina zuri alafu unakuwa na mambo za ajabu[emoji14][emoji14][emoji14]... Nyie wanawake ni waongo square unakuta mwanamke anadanganya anakwenda kwa Shoga wake kumbe anaenda kutafunwa vuzi,,,hatari sana nyie viumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nyie wanaume ndio mnaongoza Kwa uongo...kumbe inauma eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wewe ukiona ni muongo piga chini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nyie wanaume ndio mnaongoza Kwa uongo...kumbe inauma eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kunya anye kuku.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nyie wanaume ndio mnaongoza Kwa uongo...kumbe inauma eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuuuh,, kama Kuna kalogic Fulani hapa mkuuMkule tu ukichoka unasepa jumla..
Hakuna haja ya kujiuliza sana maana perfect hayupo ivo mwisho wa siku utaoa tu yeyote
Ndo ivo mkuuDuuuuh,, kama Kuna kalogic Fulani hapa mkuu
Bac mupunguze uwongo jamani mtatuuaHaya.