Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya utafiti au unapenda tu kubisha, wanajamvi sio wajinga, humu watu wameoa mi nawajua wawili lakini kuubwa linalowafariji watu zaidi wanapata sana za kukwaruriwa na wadada wanakwaruriwa watu wanaowatamani,unajua mila zetu wadada walikuwa wanagoja kutongozwa tu?
sasa maisha yanaenda katika mikwaruano hiyo watu wanaweza wakapendana hadi wakaoana, hivyo ni nzuri na inasaidiana sana kwenye kukwaruana, wadada sasa wamepata pa kutongozea kwa kuweka vigezo nataka msomi, cjui mrefu mara mwembamba, hapo wanajichagulia, big up saaana wabunifu wa hili jukwaa,
Me naona tu watu wanatafuta wake na wachumba kwa bidiii humu... ni kweli mambo yako serious kiasi hicho? na mnafanikiwa kupata??
em niondoleeni utata tafadhali...
PM kwa vigezo vya mlengo wa kati...
Wengi huwa tumepinda kule somoe au we kuna mtu umekutana ya kwake haijapinda?Umepinda wewe,