Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Tanzania kuna watu wapumbavu Sana.
Msihukumu haraka haraka hivyo. Kila mtu anaijua historia yake na familia yake.Mifumo ya dunia kila mtu ni mbinafsi ,mtu akipata kazi anataka kuishi mbali na kwao roho ya ubinafsi inamshika .Siku kadhaa mbele akishaoa ndio basi kabisa hana time na sehemu nyingine
Nzuri! Bwana Yesu asifiweDada ephen za ibada
Mimi sijawahi kuishi na mama yangu karibia miaka 15 yaani ile hakuna kuonana wala hakuwahi kunipigia simu ,but nilivyomake mambo yangu nikamchek mpaka sasa anakula posho kila mwisho wa mwezi ila hakuwa na shobo na mimi kabisa.Msihukumu haraka haraka hivyo. Kila mtu anaijua historia yake na familia yake.
Maisha uliyoishi wewe sio sawa na mimi kwahiyo maamuzi nitakayo chukua wakati fulani maishani hupaswi ku judge kabla hujajua sababu ya mimi kufanya nilichofanya.
Kwanini hao watoto hawamsaidii Mzee kukarabati nyumba yake?...Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Upo sawa mkuu, hapo inategemea sasa hukuishi nae na hakuwa na shobo na wewe kutokana na sababu gani.Mimi sijawahi kuishi na mama yangu karibia miaka 15 yaani ile hakuna kuonana wala hakuwahi kunipigia simu ,but nilivyomake mambo yangu nikamchek mpaka sasa anakula posho kila mwisho wa mwezi ila hakuwa na shobo na mimi kabisa.
Yaani hata kuja ila ishu ya kuwasiliana siwez kujua ,mzee ni jirani yetu kabisa na mwanae huyo wa Mbeya haji kabisa yuko busy na kazi na familia yake ...Wale wasiojipata ndiyo wanazunguka hapa kusalimia.Kwanini hao watoto hawamsaidii Mzee kukarabati nyumba yake?...
Walisema fainali uzeeni, aliishije na hao watoto wake, isije ikawa ni wale wazee wa kataa ndoa, au wale wazee wa gusa achia toka Nduki, mke wake yuko wapi huyo babu samakiHuyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
Dah!... familia Zina mengiYaani hata kuja ila ishu ya kuwasiliana siwez kujua ,mzee ni jirani yetu kabisa na mwanae huyo wa Mbeya haji kabisa yuko busy na kazi na familia yake ...Wale wasiojipata ndiyo wanazunguka hapa kusalimia.
Soma hiyoTanzania kuna watu wapumbavu Sana.
Ssasa kama hela zakw yeye ujana wake alizitumia kula Pombe kuvua Wanawake Vyupi kwa idadi nyingi tena akitamba mtaani unataka Badae aje kul hela za nani bure??Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa.Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Dada ephen za ibada
KiNzuri! Bwana Yesu asifiwe
Ki ephen Mambo.Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Wewe mzee wako hakukutelekeza ndiyo maana ulikuwa na roho hiyo(hukumuona ujana wake alikuwaje)Mimi nilizaliwa katika familia masikini sana na tulikuwa tunaishi katika nyumba ya matope. Baadhi ya kaka zangu walikuwa na uwezo lakini hawakumsaidia Mzee. Mimi ni mtoto wa 8 katika watoto 9. Kwa hivyo Mzee alikuwa keshazeeka.
Nilipopata kazi tu nilimjengea baba yangu nyumba mpya ile ya zamani nikaivunja. Kisha nikamununulia fanicha mpya na nguo mpya na nikamuwekea mtu wa kumsaidia usafi na kupika na nilikuwa namlipa, mke wake alishafariki kwa hivyo alikuwa hana wa kumuhudumia.
. RIP Mzee wangu
Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
Well doneMimi nilizaliwa katika familia masikini sana na tulikuwa tunaishi katika nyumba ya matope. Baadhi ya kaka zangu walikuwa na uwezo lakini hawakumsaidia Mzee. Mimi ni mtoto wa 8 katika watoto 9. Kwa hivyo Mzee alikuwa keshazeeka.
Nilipopata kazi tu nilimjengea baba yangu nyumba mpya ile ya zamani nikaivunja. Kisha nikamununulia fanicha mpya na nguo mpya na nikamuwekea mtu wa kumsaidia usafi na kupika na nilikuwa namlipa, mke wake alishafariki kwa hivyo alikuwa hana wa kumuhudumia.
. RIP Mzee wangu