Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
mbona na wewe ni kama una dalili za kuwa single maza vile, maana sio kwa mapovu haya dogo π€£π€£π€£π€£π€£Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Dah! Kaka usiniombee hivyo nitaliaπmbona na wewe ni kama una dalili za kuwa single maza vile, maana sio kwa mapovu haya dogo π€£π€£π€£π€£π€£
Mimi sikuombei, ila naona haya masuala yamekukaa sana kinywaniDah! Kaka usiniombee hivyo nitaliaπ
Subiri niombe mdomo ushindwe!Mimi sikuombei, ila naona haya masuala yamekukaa sana kinywani
Siyo kila uzao unaozaa utakusaidia aisee kikubwa kuombea tu vizazi vyetuHuyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
Point kubwa sana.
Aisee!No mercy π
Ndugu yangu mbona huko mbali sana kuna watu wanakufa na bilioni kumi kwenye account. Halafu hana mtoto ata mmoja anayejua milioni kumi ikoje.Kuna mtu anafariki anaambiwa aje achukiwe hela ya mauzo apeleke benki anakuja na Boksi tupu la Rim paper. Mtoto wa marehemu anadhani milioni kumi inajaza kwenye box la Rim paperπππ. Kuna jamaa alifariki watoto wakauza kiwanja alichonunua mbezi beach milioni 80 miaka kumi iliyopita kwa milioni 150. Wakati kuna jirani anauza kiwanja kidogo kuliko hicho kwa 500m. Aisee sisi Afrika tuna watu wajinga sana mtu wangu.Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
π©π€£π© singo maza mbona umetapika sana, punguza makasiriko utakufa mapema... Just enjoy na usingo maza wako pambana acha kulialia π©π©Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Ukweli mchungu huuUtalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Siri gani,na je zinawanufaishaje?Huwezi jua mambo ya familia za watu...
Watu wana siri kubwa sana...