Hivi unaweza kuwa na akili timamu ukakubali baba yako mzazi auze samaki akiwa na umri wa miaka 92 na ukakubali alalie mkeka?

Ssasa kama hela zakw yeye ujana wake alizitumia kula Pombe kuvua Wanawake Vyupi kwa idadi nyingi tena akitamba mtaani unataka Badae aje kul hela za nani bure??

Maisha ni kujipanga. Ule za kwako bata harafu sisi tuliojinyima uje kutulilia huruma?
Kwenye Post #32 Hilo Gazeti Linazungumzia Watanzania Kama Wewe KwA Mujibu Wa Huo Utafiti.
 
Wazee wengine waone tu hivyo hivyo,huwezi kujuwa watoto wake walipitia nini katika makuzi yao na huyo mzee,ndiyo maana kuna baadhi ya watoto wakiondoka nyumbani hawarudi labda kuwe na jambo linalomlazimisha kurudi hapo nyumbani,lakini hivi hivi kama kuenda kusalimia ni uwongo.
 
Mzazi Akosei.
Sasa Watoto Umewazaa Wa Nini?
Kwa Mujibu Wa Uislamu
Watoto Na Mali Zao Vyote Ni Mali Ya Baba.
 
Usikute alipambana watoto waende shule akasahau kuwekeza
 
Mimi sijawahi kuishi na mama yangu karibia miaka 15 yaani ile hakuna kuonana wala hakuwahi kunipigia simu ,but nilivyomake mambo yangu nikamchek mpaka sasa anakula posho kila mwisho wa mwezi ila hakuwa na shobo na mimi kabisa.
Baba umemtelekeza
 
Shida ni kwamba akipewa kitanda na mtaji mkubwa baada ya mwez wataanza kulaumiwq wale waliotoa Masada kwamba wangemwacha alalie mkeka na kuuza samaki angeendelea kuwa hai ona sasa
Hii ni dalili ya laana, huwezi muongelea uchafu huu mzazi waka.
 
Kuuza samaki au kujishughulisha sishangai maana pia ni sehemu ya kuondoa Stress.....Ila kulalia mkeka haijakaa vizuri....Ijapokuwa uwezi elewa maana kwa hali ilivyo sasa wemgi tunafanya kazi lakini hakuna tunachopata......Unaweza ukashangaa huyo mzee anayeuza samaki anawapatia fedha wanae kwa kuwainea huruma ma maisha yao yalivyo magumu
 
Mkuu sio sababu kabisa hiyo. Ni kukosa utu tu.

Babu yetu kizaa bab alimkataa mzee wetu na kama haitoshi akamtimua bibi alipokua mzee akapelekwa ujombani akasoma huko hadi la darasa la 4 na kuajiriwa ualimu.

Baba akamuuliza bibi (mama yake) amwambie ukweli baba yake halisi ni nani na kwanini babu alimkataa.
Bibi akamwambia baba yako ni huyuhuyu hakuna mwingine.

Babu wale watoto wote aliozaa na mwanamke mwingine baada ya kumtimua bibi hakusoma hata mmoja.Hivyo alipozeeka mbaya zaidi aliugua alikuja kwa mzee zaidi ya miaka7 tupo nae na mzee alimjari mno hadi umauti ulimkuta akafariki akiwa kwetu na umri wa miaka 97.

Japo alikuwa amesema akifa apelekwe akazikwe karibu na mke wake mdogo maana ndiye alitangulia.Mzee alifanya hivyo na sisu ndo ikawa mara ya kwanza kwenda kuonana na watoto wenzetu watoto wa akina baba mdogo.

Wengine walikuja kusomea kwetu baada ya msiba wa babu yaani tulipo fahaamiana na hata sasa tupo wamoja mno.

Hiki ni kisa cha familia yetu wenyewe mimi nimeanza kuwaona baba wadogo kipindi babu alipokuja nyumbani nikiwa form2. Hata mzee hakuwa kutuambia kwenda kule kumsalimia babu
 
Ni hivi babako au mamako waliokuzaa ni sura yako.hivyo hata kama hukubaliani na tabia zao,huna wazazi wengine ya hao.Kama ukiweza wape kila aina ya msaada na watu wataona na kukubariki.Mungu hapangiwi ratiba zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…