Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit.
View attachment 3237690
Kwenye Post #32 Hilo Gazeti Linazungumzia Watanzania Kama Wewe KwA Mujibu Wa Huo Utafiti.Ssasa kama hela zakw yeye ujana wake alizitumia kula Pombe kuvua Wanawake Vyupi kwa idadi nyingi tena akitamba mtaani unataka Badae aje kul hela za nani bure??
Maisha ni kujipanga. Ule za kwako bata harafu sisi tuliojinyima uje kutulilia huruma?
Mzazi Akosei.🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa.
Wewe pesa zako unadinya unazaa unatelekeza unajiona Kidume
Mtu wa hivi atakuwa analallamima tu ndugu wamemttupa🤣
Mzazi Akosei.Wewe mzee wako hakukutelekeza ndiyo maana ulikuwa na roho hiyo(hukumuona ujana wake alikuwaje)
Mzazi Akosei.Jukumu la kuwa na maisha mazuri ni wewe mwenyewe mzazi (baba). Huwezi kuwalaumu watoto wakujengee nyumba na kukupa maisha mazuri wakati wewe kipindi cha ujana wako ulishindwa kutengeneza maisha mazuri. Kuwa na watoto siyo kigezo cha mwanaume kuwa masikini (tengeneza kipato)
Watu hasa sisi wanaume tukiwa kwenye ujana tunaendekeza, pombe, wanawake na anasa zisizo na maana. Mimi kama mwanaume siwezi kuwategemea watoto wanipe maisha mazuri hilo ni jukumu langu
Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Mama yako ana hasaraSingle maza hawana jipya.Hilo ni dua la kuku.
Si ndio hawa wanaosema mama anaupiga mwingi, Yan yako bize kusema hivyo wakati mama zao bush hali ni mbaya, inasikitisha sanaTanzania kuna watu wapumbavu Sana.
Usikute alipambana watoto waende shule akasahau kuwekezaKuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Baba umemtelekezaMimi sijawahi kuishi na mama yangu karibia miaka 15 yaani ile hakuna kuonana wala hakuwahi kunipigia simu ,but nilivyomake mambo yangu nikamchek mpaka sasa anakula posho kila mwisho wa mwezi ila hakuwa na shobo na mimi kabisa.
Endelea kuchezea haki za wanao ukitarajia huruma zao ukizeeka eti mzazi hakosei.Mzazi Akosei.
Hii ni dalili ya laana, huwezi muongelea uchafu huu mzazi waka.Shida ni kwamba akipewa kitanda na mtaji mkubwa baada ya mwez wataanza kulaumiwq wale waliotoa Masada kwamba wangemwacha alalie mkeka na kuuza samaki angeendelea kuwa hai ona sasa
Mkuu sio sababu kabisa hiyo. Ni kukosa utu tu.Wazee wengine waone tu hivyo hivyo,huwezi kujuwa watoto wake walipitia nini katika makuzi yao na huyo mzee,ndiyo maana kuna baadhi ya watoto wakiondoka nyumbani hawarudi labda kuwe na jambo linalomlazimisha kurudi hapo nyumbani,lakini hivi hivi kama kuenda kusalimia ni uwongo.
Yote heri. Mama sio single mother tena anajivunia uwepo wanguMama yako ana hasara