Sio darMbagala, Mburahati, Mabibo, kigogo, Magomeni na Vinginguti. Ni Dar?
Toka huko porini utafanana na nyaniMdogo wang hβve been here since chekechea sasa kaka umekuja huku baada ya kufeli form 4 then unatambia raia kweli? π
Dar ni Jiji tamu na la raha sana kuliko sehemu ingine hapa nchini kama ukiwa na hela, ofisi yako Ina AC, gari Ina AC, unapokaa ni self na pana AC na standby generator umeme ukikatika usiku, lina ji switch on lenyewe AC inaendelea kukupuliza, ila kama mtu huna hela, Dar ni kuzimu ya duniani, bora ukae mkoani, usipokua na hela unaingia shambani unachuma ndizi au mahindi unachemsha, usiku joto si Kali, siku inapita Ausarππππna hili joto kajisweka huko buza kachumba ka1 choo na bafu la kushea halafu usiku tanesco wanakata umeme anakua kakaa kama kwenye microwave ila anajiona kawin maisha
Blaza huskii upepo huko nyumaNani kakuambia dar Kuna joto masikini kama wewe ukiingia dar ndio unalipata joto
Toka huko hifadhi ya taifa masikini wewe utafanana na nyani usijifarij
Toka huko hifadhi ya taifa masikini wewe utafanana na nyani usijifarij
Sasa hivi watanzania wote tukiishi DSM patatosha kweli? Alafu ni kupe siri, sehemu yeyote ukiwa unauwezo wa generate income nzuri yakutosha wala hawezi paona kwamba pana boa ,na ndio maana unaona wageni koutoka USA , china na ulaya wanajichimbia Africa tena katika miji midogo ambayo haina uzuri wa aina yeyote. why ?Toka huko hifadhi ya taifa masikini wewe utafanana na nyani usijifariji
Toka huko porini mkuu utafanana na nyaniSasa hivi watanzania wote tukiishi DSM patatosha kweli? Alafu ni kupe siri, sehemu yeyote ukiwa unauwezo wa generate income nzuri yakutosha wala hawezi paona kwamba pana boa ,na ndio maana unaona wageni koutoka USA , china na ulaya wanajichimbia Africa tena katika miji midogo ambayo haina uzuri wa aina yeyote. why ?