Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Kumamaakee kama ungekuwa na pesa ungekuwa unazurula mitandaon humu wenye pesa ushawaona JF humu
Nipo mtandaoni Ili kuwaelimisha masikini kama wewe mliopigwa na maisha mnaishia kutukana hovyo hata Elon mask yupo mtandaoni
 
Siwez hangaika kuku provia ww ila unatuaibisha ata kama mjini umekuja juzi karibu lakin huwez act ivo kaka nakuelekeza
Jaribu kuwaelekeza walugaluga wenzako wa huko porini sio Mimi mtoto wa mjini
 
Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.

Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.

Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili

Aisee dar ni another New York In Tanzania

Mulokozi tupo naye Manyara huku!!
 
Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.

Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.

Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili

Aisee dar ni another New York In Tanzania
una umri gani ?
 
Mdogo wang h’ve been here since chekechea sasa kaka umekuja huku baada ya kufeli form 4 then unatambia raia kweli? 😞
 
Umeandika Kwa uchungu sanaaaa kama mama mja mzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi ndio mnaofanya Nchi jirani vijana wadharau nchi hii.
 

Attachments

  • VID-20241029-WA0036.mp4
    2.6 MB
Mbagala, Mburahati, Mabibo, kigogo, Magomeni na Vinginguti. Ni Dar?
 
Wazee wa utumbo wa kuku hivi ule utumbo mnaukamuaje kutoa mbolea mbona ni mdogo sana au mnakula hvohivo na mavi ya kuku???
Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.

Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.

Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili

Aisee dar ni another New York In Tanzania
 
Hivi kweli unajifu kuishi DSM wakati unakuta mtoa mada anaishi nyumba ya kupanga , tena ni kachumba kamoja alafu anajtamba Kwa mtu anayeishi mkoani anamiliki mjengo wa maana alafu bank account inasoma eight digits anakula chakula anacho penda, ana miliki ardhi ya kutosha na miradi yake ina generate income za kutosha . Alafu mengine anaishia kupiga picha kwenye nyumba na magari ya watu ,hapo nani mjanja
 
Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.

Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.

Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili

Aisee dar ni another New York In Tanzania
Hivi shule zimefungwa ?
Bladiful
 
Hivi kweli unajifu kuishi DSM wakati unakuta mtoa mada anaishi nyumba ya kupanga , tena ni kachumba kamoja alafu anajtamba Kwa mtu anayeishi mkoani anamiliki mjengo wa maana alafu bank account inasoma eight digits anakula chakula anacho penda, ana miliki ardhi ya kutosha na miradi yake ina generate income za kutosha . Alafu mengine anaishia kupiga picha kwenye nyumba na magari ya watu ,hapo nani mjanja
Toka huko hifadhi ya taifa masikini wewe utafanana na nyani usijifariji
 
Huyu ni yule dogo ambaye hua anaanzisha threads za kusema ana hela nyingi na kuwatukana watu wote akiamini kua yeye ana hela kuliko member wote wa jf,

Angalia reply zake utagundua hilo,amekuja na ID nyingine ila reply zake ni style ile ile.
Jaribu kutoka huko porini utafanana na nyani
 
Back
Top Bottom