Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.

Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.

Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
 
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.

Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.

Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
Hasira hubaki kifuani mwa mtu mpumbavu
 
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.

Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.

Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.

You are taking that hate too far
 
Kamwe siwezi kumchukia EX hata kama nilimpenda mno na Kaniumiza mno, Sababu nikimchukia mimi pia ntandelea kujiumiza bure hivyo namsamehe hata kama Hajaniomba msamaha.

lakini pia siwezi katu kuwa na Ukaribu na EX na wala siwezi kujibu sms yake na Akinipigia simu na nikafaham ni yeye Siwezi kuruhusu mazungumzo yoyote na EX hata ya salamu, sababu Kukaribisha mazungumzo yoyote au mahusiano na mtu Anayejua udhaifu wako in and out ni kukaribisha hatari ya Kurudi ktk mahusiano na kujiandaa kuumizwa tena.. nikikutana naye Ana kwa Ana Nampa salamu na Akinisalimia pia najibu salam yake then hakuna mazungumzo ya ziada nje na Salam.
 
Kamwe siwezi kumchukia EX hata kama nilimpenda mno na Kaniumiza mno, Sababu nikimchukia mimi pia ntandelea kujiumiza bure hivyo namsamehe hata kama Hajaniomba msamaha.

lakini pia siwezi katu kuwa na Ukaribu na EX na wala siwezi kujibu sms yake na Akinipigia simu na nikafaham ni yeye Siwezi kuruhusu mazungumzo yoyote na EX hata ya salamu, sababu Kukaribisha mazungumzo yoyote au mahusiano na mtu Anayejua udhaifu wako in and out ni kukaribisha hatari ya Kurudi ktk mahusiano na kujiandaa kuumizwa tena.. nikikutana naye Ana kwa Ana Nampa salamu na Akinisalimia pia najibu salam yake then hakuna mazungumzo ya ziada nje na Salam..
Nakazia
 
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.

Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.

Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
Hiyo ya mizinga imenikuta jana aisee
 
Kawaida sana kwa manguli. Jamaa yangu aliachwa na demu wake ,aliumia sana hadi stress. Hakuweka uadui. Mpaka manzi akaolewa na jamaa alie mchkua. Mchizi wangu kwa ugumu na harusi akachangia. Baadae kidogo aliendelea kupewa tunda kimasihara hadi leo. Wamekua marafiki kama kawa. Namuonea huruma sana jamaa alietuchukulia mke wetu.
 
Ukiona mtu amerudiana na x wake ujue hao watu hawakupendana kabisa kabisa Kati yao na hao Wana interest za ki bussiness tu, kwenye real love hurudi nyuma
hivi unajua mapenzi au unasikiaga tuuu.

Yaani x anakuacha bila maandalizi usirudi kweli???
Tena kamoyo kata kuwa kwatuuu!! Unashukuru sana Mungu kuwa ananipenda x wangu amerudi??

Hata km huyo x wako anao wapenzi mia moja.
na hata km utampa pesa akawape hao anao wataka yeye!!
Wewe hiyo hujali wewe.cha muhimu amerudi salama kwako baasi.

Achana na kupenda wewe kijana!! Narudia sijakosea!!
Samsoni wa Bible unamjua weye alichomfanyia Delila??

Mfalme Daudi mbabe pamoja na kumjua Mungu vile vilivyo. lkn alioza ozo kwa mke wa naniii....mpaka aka muua mumewe vitani huko bila huruma!!

Nyapu ionege hivihivi wewe hasa ukipatia mulemule
unaweza kuoza kwa binti yako wa kumzaa... kisa anafanana na mama yake akitembea. Usiwaone hao wajinga.nyapu ina historia ndefuuu wewe. Wa wapi kwanza!!

Watu wanakufa kweupeee ajili ya nyapu.wangapi wamekufa wameziacha????
Jk nyerer
Jiwe
Nkapa
Mobutu
Bush mkubwa weee!
Mandela
Karume kwa uchache!!!

Cha msingi muombe Mungu sana.akuongoze utamjua tu ukimtaka!!
 
Back
Top Bottom