Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Ukimove on kiukweli inawezekana, shida wengi wanabaki na maumivu makali moyoni kwahiyo urafiki unakua mgumu sana
 
Usiporudi nyuma kwa kitu kidooogo km hiki lazima psychologically unaumwa. Kwani ulimkuta bikra huyo? Kunantu alikuwa anapiga.

Hakika utakufa mapema bila kujua. Jifunze kusamehe.


Km utampiga pin unajipiga pin ya taarifa za maadui zako weye mwenyewe.
But yeye hajaongelea kusameheana amezungumzia kila mtu kushika zake na kuendelea na maisha aliyochagua.

Sasa kama mtu kwa utashi wake aliamua kukuacha then anarudi kukuchombeza huyu mtu anakuwa sawa kiakili kweli?!
 
But yeye hajaongelea kusameheana amezungumzia kila mtu kushika zake na kuendelea na maisha aliyochagua.

Sasa kama mtu kwa utashi wake aliamua kukuacha then anarudi kukuchombeza huyu mtu anakuwa sawa kiakili kweli?!
Am speaking through experience de word "love!!"
Maisha yana mambo mengi mno! Cha muhimu kuishi kwa kusamehe baaasi!!
Unajua upepo uliomkumba mwenzio?
Wengine
wanarogwa.
shawishiwa.
kupigwa upepo nk akili zinakuwa si zao. Lkn km ulikuwa humpendi sawa muache aende.huyo hukumpenda.Bali ulimtamani

Lkn km ulipenda!!!! Heee!!! Usicheze na pendo wewe!! Watu wengi wa sifa wanakufa/uawa/vichaa ajili ya pendo....

Upendo si kitu cha kutomasa tomasa hivi kijana na usiombe ya kukute.ruka na cd weeee lkn siku ukinasa hkn dawa.

Manabii walisema karne nyingi kuwa...
upendo hautakabari.
Upendo hauhesabu mabaya.
Husamehe yote. Zaidi ya hapo
Si upendo huo...
 
Am speaking through experience de word "love!!"
Maisha yana mambo mengi mno! Cha muhimu kuishi kwa kusamehe baaasi!!
Unajua upepo uliomkumba mwenzio?
Wengine
wanarogwa.
shawishiwa.
kupigwa upepo nk akili zinakuwa si zao. Lkn km ulikuwa humpendi sawa muache aende.huyo hukumpenda.Bali ulimtamani

Lkn km ulipenda!!!! Heee!!! Usicheze na pendo wewe!! Watu wengi wa sifa wanakufa/uawa/vichaa ajili ya pendo....

Upendo si kitu cha kutomasa tomasa hivi kijana na usiombe ya kukute.ruka na cd weeee lkn siku ukinasa hkn dawa.

Manabii walisema karne nyingi kuwa...
upendo hautakabari.
Upendo hauhesabu mabaya.
Husamehe yote. Zaidi ya hapo
Si upendo huo...
Kama alihisi amerogwa kwann asinambie nimsaidie kupambana na hiyo hali ya kulogwa....?!

Mimi nikiona nataka kumfanyia usaliti mwenzangu huwa nakaa nae chini namwambia ninachopitia huwa ananisaidia..... Ataniuliza maswali na nitamjibu....
 
Kama alihisi amerogwa kwann asinambie nimsaidie kupambana na hiyo hali ya kulogwa....?!

Mimi nikiona nataka kumfanyia usaliti mwenzangu huwa nakaa nae chini namwambia ninachopitia huwa ananisaidia..... Ataniuliza maswali na nitamjibu....
Matokeo ya ulozi huwa ni too late!! Km huna kinga ya kutosha.

Usirudie tena kumtonya mkeo pindi unapo chepuka.
utalipata la kukupata!! Ugeuke simba na usipate dawa. Unajua simba luwala waleee wa Mtwara? Ndo ilikuwa km haya unayo sema.

Halafu unaonekana huna uzoefu wa kuchepuka. watu rijali wana michepuko 2000 kwa uchache.

Sasa hebu nambie utakavyo mpa taarifa mkeo wa hiyo michepuko!! Atakuona kituko make ni kazi hasa zaidi ya matangazo Redio tanzania.
 
Hatuwezi kufanana wote we km unaweza kuvumilia mtu wa hivuo Basi nikupongeze ila mi siwezi
Basi bado mdogo !! kuna siku utakutana na moyo wako!! ulio bebwa na mtu mume unatembea barabarani utashangaa ''Mark ma words'' mpakakichwa kuuma yupo wako hasa lazima tuu!! utamuona km unasali!!

watu humu Duniani wana Mikito!! wanajua na wana akili flani hivi ilojificha kwa mbaaali ya kusamehe kupenda kupotezea kabisaa! na kubembeleza binadamu wenzao, wapole wa hali

Uwe kazini, shuleni, ndoani!! ukiwa mtundu mtundu huko utawaona/utakutana na hawa watu wa hivi, siyo wengi, zao akili ya muonekano, ya Msamaha, upendo kusahau ubaya/makosa ya mtu yeyote, Mtakwaruzana hata kutukanana sana lkn mwisho wa siku ahaaa!! wanapotezea km si wao!

wako free mno km Binamu yangu Esta Jackson ana akili na roho ya kipekee sana yule mdada japo hakusoma saaana!!! ni acha kabisa!! nampendaje huyu!! kijamaa kimepata mke safi sana sijui nikipokonye?

Hawa maishani unaweza kutana nao Ghafla bin vuu!! kuna ki x changu flani hivi Kihehe cha Iringa huko Ismani. Daaa!! ismani oyeeee!! hiki kichanchuda bana acha kabisa kinanipenda mpaka leo!! japo kimeolewa mpaka roho inaniuma sijui nikirudishe!! nilee mtoto wangu!

na mtoto wangu ana roho nzuri km ya Mamake potelea kwa mbali aje akae tuuu!! afanye anavotaka . Huko ndoani hajazaa mpaka leo miaka kumi sasa ni mtoto wangu tu ana tamalaki!! kwa baba wa kufikia!! lazima nishau yote hapa ili aje hkn namna!!

richa ya ya mie kum kimbia usiku kipindi flani hivi lkn hakijawahi niacha!! sasa najiuliza huyu kapenda nini hasa kwangu? na hakina roho mbaya kiviiile asa nikikutana nacho km nina mpunga nakipa tuuu! tena wa kutosha! na mazaga zaga yoote!!
 
Matokeo ya ulozi huwa ni too late!! Km huna kinga ya kutosha.

Usirudie tena kumtonya mkeo pindi unapo chepuka.
utalipata la kukupata!! Ugeuke simba na usipate dawa. Unajua simba luwala waleee wa Mtwara? Ndo ilikuwa km haya unayo sema.

Halafu unaonekana huna uzoefu wa kuchepuka. watu rijali wana michepuko 2000 kwa uchache.

Sasa hebu nambie utakavyo mpa taarifa mkeo wa hiyo michepuko!! Atakuona kituko make ni kazi hasa zaidi ya matangazo Redio tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi bado mdogo !! kuna siku utakutana na moyo wako!! ulio bebwa na mtu mume unatembea barabarani utashangaa ''Mark ma words'' mpakakichwa kuuma yupo wako hasa lazima tuu!! utamuona km unasali!!
Huu ujumbe Ni wangu au umekosea kaka?
 
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.

Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.

Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
Acha ushamba wa mapenzi wewe
 
Kamwe siwezi kumchukia EX hata kama nilimpenda mno na Kaniumiza mno, Sababu nikimchukia mimi pia ntandelea kujiumiza bure hivyo namsamehe hata kama Hajaniomba msamaha.

lakini pia siwezi katu kuwa na Ukaribu na EX na wala siwezi kujibu sms yake na Akinipigia simu na nikafaham ni yeye Siwezi kuruhusu mazungumzo yoyote na EX hata ya salamu, sababu Kukaribisha mazungumzo yoyote au mahusiano na mtu Anayejua udhaifu wako in and out ni kukaribisha hatari ya Kurudi ktk mahusiano na kujiandaa kuumizwa tena.. nikikutana naye Ana kwa Ana Nampa salamu na Akinisalimia pia najibu salam yake then hakuna mazungumzo ya ziada nje na Salam..
Naunga mkonyo hoja
 
Huu ujumbe Ni wangu au umekosea kaka?
Noelia!! Mapenzi ni ya ajabu sana, Wakati mwingine mtu waweza furahia mipangilio tu ya mdada a!!! hata Maneno tu ya mdada wa Jf, au avatar tu km hii!! na ukajenga picha kichwani. kwa mbaali kaupendo kakajaa kwa sehemu ya Moyo!

Sijui wadada wana nini Machoni mngejua?? hee!! angalia hata tulipokuwa mafunzo ya JKT, Shuleni , yaani mdada kuadhibiwa km midume haipo kabisa. na atakae fanya hivo anaweza pigwa hata na mpita njia.
 
Back
Top Bottom