Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Hivi unawezaje kujenga urafiki na Ex wako aliyekuacha kwa maumivu makali?

Kawaida sana kwa manguli. Jamaa yangu aliachwa na demu wake ,aliumia sana hadi stress. Hakuweka uadui. Mpaka manzi akaolewa na jamaa alie mchkua. Mchizi wangu kwa ugumu na harusi akachangia. Baadae kidogo aliendelea kupewa tunda kimasihara hadi leo. Wamekua marafiki kama kawa. Namuonea huruma sana jamaa alietuchukulia mke wetu.
Safi sana amzalishe sasa. Rijamaa rileee! Moaka basi utachukuaje mkewa ntu
 
Tifautisha kupenda mtu na kurudiana naye, ukipenda serious once your hurt hurudi nyuma, hujakutana tu na hizo case ujue kiundani
Usiporudi nyuma kwa kitu kidooogo km hiki lazima psychologically unaumwa. Kwani ulimkuta bikra huyo? Kunantu alikuwa anapiga.

Hakika utakufa mapema bila kujua. Jifunze kusamehe.

Utabeba mangapi moyoni humo ??hata uongozi wa nyumba kumi huwezi achilia. Mbalii familia hutaweza. Usione me wenzako wako kwa barabara wana mengi wamepotezea tu.

Mpaka ameondoka unawaza tu makosa yake.kwani wewe hukumkosea?? Sasa kwa nini aende kwingine??
Labda domo lako lanuka.
Labda hujui kukatika.bin kibamia mtoto anataka mshedede!
Labda huna shape nzuri
Labda mchoyo
Labda mchawi
Labda unajamba hovyo wkt unakojoa!!
Labda alisikia weye chakula
Haya yoote yanaweza kufanywa na wapinzani wako pia au weye binafsi km kujambajamba hovyo.sasa km akija utajua meengi makasoroi!!

Pia ni km spy wako aliye kukusanyia taarifa
Km utampiga pin unajipiga pin ya taarifa za maadui zako weye mwenyewe.
 
Ex ni wa kumkaushia, ukipita hata karibu na kwao/kwake unarusha mawe juu ya bati na mchanga dirishani
tetwtweeee!!! Ukirusha utarusha sana tu. hizi ni dalili za maumivu halafu jioni moja anapita na mshikaji wako karibu home kwako.
 
Nawarushia mawe vile vile
Makaratee ya kibaunsa unayasikia tu weye!!! utachezea vitasa vitasa si vya Dunia hii.

Mpaka akili ikukae sawa.
Km somo halipandi ukazidisha utapandishwa daraja sasa

Yaani unakuwa mke wa pili wa hiari.
Make unaona mke mwenzio anafaidi .
Mzee mzima unatoa nyaaa duuu!!

Sasa utapigwa za chini kwa chini ili utulie na kwa hatua nzuri hivi lazima utatulia tu.
 
Makaratee ya kibaunsa unayasikia tu weye!!! utachezea vitasa vitasa si vya Dunia hii.

Mpaka akili ikukae sawa.
Km somo halipandi ukazidisha utapandishwa daraja sasa

Yaani unakuwa mke wa pili wa hiari.
Make unaona mke mwenzio anafaidi .
Mzee mzima unatoa nyaaa duuu!!

Sasa utapigwa za chini kwa chini ili utulie na kwa hatua nzuri hivi lazima utatulia tu.
Nikipigwa naokota mawe mengine, nawarushia tena
 
Awe kakuumiza ama hajakuumiza, mawasiliano ya karibu na ex wako Ni sawa na kucheza na taka ulizotupa mwenyewe kwa utashi wako
lkn best Noelia kumbuka kunataka zina thamani bustanini kwako??

Iwe bustani ya mboga zina thamani pia.

Bustani ya maua au

Shamba au hata..

Kukuzalishia umeme ule wa taka au

Kukutengenezea gas ya kupikia inayotokana na taka..ukala ukashiba. Kwa bei rahisi.

Au pia taka hizo ukalishia mifugo km kuku bata nk ukawala bidae.au ukauza wkt wa shida je hazijakusaidia???

Kumbuka taka ni mali hasa ukizijulia.

Tambua taka zina thamani ya afya usizitupe mbali ili uishi vyema.
 
Nikipigwa naokota mawe mengine, nawarushia tena
Duuuu!! mkuu hapo sasa simo.
Hii ote uchungu au...
Utashangaa ghafla na wao wanakurushia.kumbuka yao yakija ni mawili. Ukikwepa hili hili limekupata nani zaidi.

Hujachechemea tu. na uchungu wa kuachwa heee!! Halafu wakikuona wanaimba....kale kawimbo...

Kuachwa ....
Ni shughuli pevu wewe unakonda yeye ananenepa.aaa...

Kwa mawazoo!!! Oooh! Kwa mawazo!!!
 
X wangu anavyo nisaidia kwa ss sina mpango wa kumchukia wala kumdisi, asante my X ningekudisi ss hivi ningekua naula wa chuya.
 
X wangu anavyo nisaidia kwa ss sina mpango wa kumchukia wala kumdisi, asante my X ningekudisi ss hivi ningekua naula wa chuya.
Safi sana mkuu ana roho nzuri huyo ya kizungu nyeupeeee km kikwete!!!

Ana mdogo wake wa kiume mkuu uniunganishe,???
Ntakulipa usiogope

Na wewe lazima utakuwa maji ya kunde au mweupe.nina maana ni nadra sana kuwa mweusi.

Fanya kauchunguzi popote pale hata wana familia wengi utagundua wale ndugu weupee weupe wana roho nzuri.
Wale weusi huwa na roho mbaya wabinafsi. Wachoyo wenye hila.kisasi.duuu!! Hpna aisee!!

Madem pia hivo hivo.videm maji ya kunde .weupe aash!!

Viko huru sana.vinasamehe faster.viko huru kiasi cha kushangaza ...sijipigii debe ila vinapenda kaupendoflani hivi.ambako ni kazuri mpaka roho inakuwa kwatuu.

Ukitaka me ufe haraka demu mweusi!!!
 
lkn best Noelia kumbuka kunataka zina thamani bustanini kwako??

Iwe bustani ya mboga zina thamani pia.

Bustani ya maua au

Shamba au hata..

Kukuzalishia umeme ule wa taka au

Kukutengenezea gas ya kupikia inayotokana na taka..ukala ukashiba. Kwa bei rahisi.

Au pia taka hizo ukalishia mifugo km kuku bata nk ukawala bidae.au ukauza wkt wa shida je hazijakusaidia???

Kumbuka taka ni mali hasa ukizijulia.

Tambua taka zina thamani ya afya usizitupe mbali ili uishi vyema.
Sijipi hiyo shughuli Mimi, kama Ni gesi nitanunua nyingine, mboga nitanunua mbolea, kulishia mifugo nitaenda nikate nyasi maisha simple sana ya Nini kujichosha na mtu mmoja
 
Usiporudi nyuma kwa kitu kidooogo km hiki lazima psychologically unaumwa. Kwani ulimkuta bikra huyo? Kunantu alikuwa anapiga.

Hakika utakufa mapema bila kujua. Jifunze kusamehe.

Utabeba mangapi moyoni humo ??hata uongozi wa nyumba kumi huwezi achilia. Mbalii familia hutaweza. Usione me wenzako wako kwa barabara wana mengi wamepotezea tu.

Mpaka ameondoka unawaza tu makosa yake.kwani wewe hukumkosea?? Sasa kwa nini aende kwingine??
Labda domo lako lanuka.
Labda hujui kukatika.bin kibamia mtoto anataka mshedede!
Labda huna shape nzuri
Labda mchoyo
Labda mchawi
Labda unajamba hovyo wkt unakojoa!!
Labda alisikia weye chakula
Haya yoote yanaweza kufanywa na wapinzani wako pia au weye binafsi km kujambajamba hovyo.sasa km akija utajua meengi makasoroi!!

Pia ni km spy wako aliye kukusanyia taarifa
Km utampiga pin unajipiga pin ya taarifa za maadui zako weye mwenyewe.
Umeandika Mambo mengi wewe jua tu binadamu tumetofautiana ku handle Mambo ilivo, na Kuna vitu inabidi ku let go kuliko kukumbatia transformer na future yako ilivo.

Pia wengine husamehe na kuruhusu kila mtu na maisha yake, nakusamehe kabisa Sina kinyongo ila kila mtu achukue hamsini zake, Kuna vitu havi fosiwi kabisa, na ni rahisi husamehe na kuvumilia mapungufu ya kimaumbile and whatever na sio tabia za mtu ambazo hazibadiliki kamwe loh.
 
Back
Top Bottom