😂😂😂Hiiiiiii ya kweli haya 'nyaru'
Yaani kabisaaa!!! ukiwa na kijana wa kiume mkubwa shababi km miaka 15 kwenda mbele!! Mmeo hakugusi kwa kichapo acha kukukoromea tu hata iweje!! huwaga inakuja tu from no where!!
akilazimisha kwa umri huu kuleta ukauzu anakaribisha laana ya ukoo wake kabisaa!!! wazee wa ukoo wanajua hapa jinsi ya kumkemea lkn sasa siku hizi tuko mjini!! halafu wamama wanapenda sana vi boy vyao! navo vinakuwa ivoivo!!
KM ikitokea mmeo akakupiga mbele ya mtoto wa kiume!! Mtoto lazima atamkinga Mama asipigwe na Baba! hapa ni km baba atashindwa kumvumilia mkewe! ndo maana wanaume wanasomesha watoto wa kiume faster waondoke nyumbani!
Kinyume na hapo baba awe na adabu mno!! si unaona!! Hata iweje piga ua Mama lazima apewe msaada wowote na watoto! achilia mbali pesa anayo taka! tena kuliko Baba! ivoivo na njiani pia kamwe hutampiga mkeo Barabarani wapita njia!! hasa wanaume wakuache tu! weee!!
Dawa yake iko hivi mwanaume yeyote anae pitia hapa!! ukiona watoto wako wamekuwa wakubwa sasa, acha kabisa kumtia vitasa mkeo!! kumgombeza bila staha !! ndo zawadi pekee kwako, Mkeo na hao wanao,
Hakuna kitu kinacho waumiza watoto Duniani mote! hasa wa kiume!! Mama yao kudhalilika tena some times na kashfa juu!! na jitahidi wee baba tena mno uwezavyo umpende mkeo kuliko kawaida hata ukiona vepe jipendekeze tu kwani nini bwana hakuoni mtu!! utafaidi...
Lkn nakwambia leo hii ukiwa kauzu tu! Baba ........ heeee!! pole!! utaona kila rangi!! kifo cha mapema pia! japo Umewasomesha kwa hela yako, zaidi utafia usipo pajua hata uwe na Mali vepe!! jioni ni jioni tu ukiwa kauzu tegemea giza totoro mbele,
watakao kupa tochi uone mwanga ni huyo Mkeo km ukimhurumia na akakupenda, lakini na ili akupende ni wewe mwenyewe!! hata iweje Mwanamke yeyote anapendwa popote Duniani mtajifaragua weee lkn......
ndo maana Me tunachagua sana!! na kuahirisha mapendo kila inapobidi sometimes tukigundua makosa yetu tuko tayari kurudi kwa machozi !! hata humu chunguza myoyo ya wawili ikikutana inaongea!
unaweza soma tu thread ya mdada au Men ukapata kakitu! km kapicha flani hivi!! ka mwito japo huwaoni na huwajui! Uongo Noelia!!! Daaa!! jamani ...huyu jamaa!! Mungu!!! ama kweli fundi haswaaa!! nimemkubali...