Umetufungia mjadala kiongoziUki rudiana na Ex wako ata awe wa toka ototoni ...Love aiwezi kua the same
This is wrong typicallyUkiona mtu amerudiana na x wake ujue hao watu hawakupendana kabisa kabisa Kati yao na hao Wana interest za ki bussiness tu, kwenye real love hurudi nyuma
Hasira hubaki kifuani mwa mtu mpumbavuKuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.
Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.
Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
Kuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.
Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.
Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
NakaziaKamwe siwezi kumchukia EX hata kama nilimpenda mno na Kaniumiza mno, Sababu nikimchukia mimi pia ntandelea kujiumiza bure hivyo namsamehe hata kama Hajaniomba msamaha.
lakini pia siwezi katu kuwa na Ukaribu na EX na wala siwezi kujibu sms yake na Akinipigia simu na nikafaham ni yeye Siwezi kuruhusu mazungumzo yoyote na EX hata ya salamu, sababu Kukaribisha mazungumzo yoyote au mahusiano na mtu Anayejua udhaifu wako in and out ni kukaribisha hatari ya Kurudi ktk mahusiano na kujiandaa kuumizwa tena.. nikikutana naye Ana kwa Ana Nampa salamu na Akinisalimia pia najibu salam yake then hakuna mazungumzo ya ziada nje na Salam..
Hiyo ya mizinga imenikuta jana aiseeKuna wakati nakosa majibu lakini pia kuna wakati kuna huwa ninawashangaa unakuta mtu kaachwa lakini bado analazimisha urafiki Ex wake ambaye amemuumiza na kumkosesha raha lakini bado anamfuatilia.
Inafika wakati Ex wake anampiga mizinga hatari halafu anachokipata anahonga mpenzi wake mpya inafika hatua mtu anatambua anachokitoa yeye ndicho anachopewa mwingine huku moyoni a naendelea kuumia.
Ukweli ni kwamba ex wako hawezi kuwa rafiki yako ex wako ni adui yako hakunaga urafiki ma ex wawili waliopenda sana wakaachana mmoja wapo akaumia alafu wakabaki marafiki.
Anatafuta kumuumiza pia.Ukiona mtu amerudiana na x wake ujue hao watu hawakupendana kabisa kabisa Kati yao na hao Wana interest za ki bussiness tu, kwenye real love hurudi nyuma
Kama kamba iliyokatwa vile...inaweza kuwa imara ila haikosi fundo.Uki rudiana na Ex wako ata awe wa toka ototoni ...Love aiwezi kua the same
Ukiona mtu amerudiana na x wake ujue hao watu hawakupendana kabisa kabisa Kati yao na hao Wana interest za ki bussiness tu, kwenye real love hurudi nyuma
Wewe umeelewa nin, tuanzie hapoSamahanini jamani, mnaposema ex mnamaanisha nini?
hivi unajua mapenzi au unasikiaga tuuu.Ukiona mtu amerudiana na x wake ujue hao watu hawakupendana kabisa kabisa Kati yao na hao Wana interest za ki bussiness tu, kwenye real love hurudi nyuma