Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Unakuta mtu ananunua chakula kwa pesa aliyoitafuta kwa shida halafu anaweka pilipili kwenye mboga kiasi kwamba jicho linakuwa nyanya, jekunduuuu! Muda huo anakula huku ametumbua macho na kuachama (kuacha mdomo wazi) ili hewa ya oksijeni iupooze mdomo, muda huo lips zimekuwa tomato! Zimedoda mpaka basi. Kikohozi na mafua ya rasha rasha ya hapa na pale yakimtoka bila huruma, yeye ni humu tu huku akijifuta pua kwa kiwiko cha mkono. Hela ni yako, kwanini ujipe mateso wakati kula ni starehe. Hauna tofauti na mwanaume anayepakaa mkongo ili akafanye mapenzi
Ila suluhisho la haya yote ni 2025
Na hili nalo serikali ikalitizame kwa jicho la upembuzi
Ila suluhisho la haya yote ni 2025
Na hili nalo serikali ikalitizame kwa jicho la upembuzi