Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?