Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
- Thread starter
- #21
NotedUshasema mwenyewe kaelewa sasa Kama bado inakusumbua mlipe ili uwe na amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NotedUshasema mwenyewe kaelewa sasa Kama bado inakusumbua mlipe ili uwe na amani.
Basi jamaa atakuwa anamlia timing shemeji yetuMimi, rafiki, mtoto wote jinsia ya kiume
God forbid!Basi jamaa atakuwa anamlia timing shemeji yetu
Nimeuchuna natumaini naye yuko mature enough ya kugundua kosa lake! Vitu vinatafutwa na Mungu atajalia atapata kingine zaidi ya hicho!Hauna ujasiri wa kumface umwambie haujapenda alichokifanya?? 😎
Kwani vipi mkuu!Kwani hizi simu ni kwa ajili ya Jamii forum na Twitter tu?
Hivi twitter bado hipo?Kwani hizi simu ni kwa ajili ya Jamii forum na Twitter tu?
Asante
Mke wa mtu sumuUkitaka kumpata mke wa mtu kirahisi wewe wapende tu watoto wake, vijipipi vya hapa na pale, anko anko, mwisho wa siku inazamishwa shwaaa. Kaa macho mkuu piga marufuku.
Ndio watamu balaa, na wanaliwa kinoma. Mtoa mada akae macho. OhoooMke wa mtu sumu
Kosa mbona silioni hapo,Maana kama ww muaminifu hata wanao kwa imani yake ni hata mwanao ni mwaminifu....Ondoa mawazo hasi ndugu yanguKuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Kumbe mimi mgeni mjiniNdio watamu balaa, na wanaliwa kinoma. Mtoa mada akae macho. Ohooo
Kama siyo michezo yako achana nayo, ukidakwa.Kumbe mimi mgeni mjini
Wataku p DiddyKama siyo michezo yako achana nayo, ukidakwa.
Iba kwa machale mkuuWataku p Diddy
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Aisee,hili balaaKuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?