Hivi urafiki wangu na wewe, unaletaje mazoea kwa wanangu?

Kwani hizi simu ni kwa ajili ya Jamii forum na Twitter tu?
 
Kosa mbona silioni hapo,Maana kama ww muaminifu hata wanao kwa imani yake ni hata mwanao ni mwaminifu....Ondoa mawazo hasi ndugu yangu
 
Aisee,hili balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…