Hivi urembo wa huyu binti nauona peke yangu?

Hivi urembo wa huyu binti nauona peke yangu?

Subir gambe iishe kichani, utamuona wa kawaida tu mkuu
[emoji38]kwamba?
JamiiForums171567952.jpg
 
Mjue wakuu
Kuna Wanawake wana ile "glowing face"

Yaan uso wake umechangamka,

Sio unamtizama usoni,
mwanamke ana uso mzito utadhan uji wa msibani[emoji4]
Kama atakuwa na complete package, kwamba shape lipo, hips, kifua kimejaa..hapo nampa credits, short of that atakuwa wa kawaida tu.
 
Kanda ya ziwa bado hawajaelewa umepost nn? Maana hao na mademu weupe hata kama ana ngoma lazima wafukuzie
 
Bonge Moja la pisi

Kwangu Mimi Huyo mtoto mkali sana

Ningepefa fursa naoa kabisa Wala sijiulizi. Marambili.

Atakuwa wa sudani kusini kwa hio color
 
Bonge Moja la pisi

Kwangu Mimi Huyo mtoto mkali sana

Ningepefa fursa naoa kabisa Wala sijiulizi. Marambili.

Atakuwa wa sudani kusini kwa hio color
Hakika[emoji4]
 
Back
Top Bottom