Hivi urembo wa huyu binti nauona peke yangu?

Wa kawaida saaaaaaaaaana.
Huyo demu ni mzuri sana, huyo nikimpata fasta natoa posa kabla wenye kutambua wanawake wazuri hawajaniwahi. Hata kuhonga mimi wanawake weusi nakata pochi ya nguvu, nawapenda kisha nawaheshimu sana wanawake weusi wanaojua thamani ya rangi zao
 
huyu binti nimemkumbuka Miriam Odemba.hizi colour za dhahabu waliowengi wanajichubua wanakua na muonekano mbaya wa ngozi.
Sikuhizi kajichubua,
kawa wa hovyo sana[emoji3525]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…