Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 981
Hivi tunaposema putin kafeli..Tunamaanisha ukraine kavuka mipaka kaingia urus? Au anafumuliwa huko huko kwake?..Kashndwa hata kurusha bomu la mkono ndan ya urus? Me naona vita hii mrus hatak uharbifu na kuu maelfu ya raia la sivyo hyo ukraine ingeshafutwa yote kwa makombora mazito