Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Teh teh,Supapawa ameamua adeal na majengo baada ya mambo kuwa magumu.Hujaona ukraine ilivyochakaa hata huyo atachakaa subiri kidogo tuna mambo mengi ya kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh,Supapawa ameamua adeal na majengo baada ya mambo kuwa magumu.Hujaona ukraine ilivyochakaa hata huyo atachakaa subiri kidogo tuna mambo mengi ya kufanya
Kila siku Putin anabadili malengo kadri mambo yanavyomwendea mrama,alianza na denazification na kumwondoa Zelensiky madarakani, sasa hivi hata hakumbuki tena kama hilo ndilo lilikuwa lengo lake kuuTumia muda wako kupitia ramani ya Ukraine, kuna eneo kubwa sana wanalala bila kusikia mlio wa risasi, Urusi kajaribu kuparamia ila Kiev pekee ilimshinda sasa ameanza kugeuza anasema amekamilisha alichotaka kufanya, ilhali amepoteza hadi basi.
Hakuna mkongwe, nilikuwa nataka unisaidie kujaza server tu hapa JF!Uko sahihi, sasa Urusi imehatarisha maslahi gani ya Marekani.