Hivi usafiri wa Dodoma - Dar usiku ulishaanza?

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Naomba kufahamu taarifa hii. Kuna kipindi ilisemekana mabasi yameruhusiwa kusafiri usiku.
Je Dodoma - Dar upo? Ni saa ngapi na magari gani yanaroute hiyo?

Nawasilisha.
 
Kama sijakosea walimaanisha, ni kwa magari ambayo yalishaanza safari na Giza likawakuta njiani wanaruhusiwa kumalizia safari yao. Lakini sio kuanza safari usiku.
 
Kama sijakosea walimaanisha, ni kwa magari ambayo yalishaanza safari na Giza likawakuta njiani wanaruhusiwa kumalizia safari yao. Lakini sio kuanza safari usiku.
Kenge alisema ni kusafiri 24hrs na kufanya biashara
Alimaanisha unaweza toka mwanza saa moja usiku kwa mfano ukaenda dar kwa bus
 
Yapo yanaondoka Dar swa 12 jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…