Hivi Usalama wa Taifa wanajua matatizo ya Taifa la Tanzania?

Hivi Usalama wa Taifa wanajua matatizo ya Taifa la Tanzania?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
 
Wanasiasa wameivuruga sana hii taasisi, kipindi kirefu wamekuwa wakishughulika na wapinzani kuliko mambo ya msingi.kama hiyo vita ya uchumi unayosema.tumebinafsisha viwanda wawekezaji wameondoa mitambo na kugeuza nagodown idara iko kimya tu.

Tozo idara iko kimya, inasikitisha sana.
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Ngoja Sasa tukutafute utueleze vizuri hayo matatizo ya taifa la Tanzania ni yepi.
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
usalama wa mchongo hamna kitu wamejaa watoto wa makada wa chama cha kijani
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Politicians tend to create problems and pretend to find the solution, kwa hiyo unajuaje Kama hawayajui? Where is Lowasa? Atuambie kuna mwaka kulikua na fuel shortage,akiwa primer, walifanya umafya meli zimeleta wese bandarini.
Kuna kipindi Misri walizuia kutumia maji ya ziwa Victoria kwa shughuli za kilimo na matumizi ya kawaida, Lakini maamuzi magumu yakafanyika,mikataba ya kikoloni ikatupwa, maji yakaanza kupelekwa Shinyanga
 
Back
Top Bottom