Hivi Usalama wa Taifa wanajua matatizo ya Taifa la Tanzania?

Hivi Usalama wa Taifa wanajua matatizo ya Taifa la Tanzania?

Usikute alieanzisha uzi ni usalama sema anapima upepo aone komenti za watu wanawafanyia usalama!.. watanzania nao sio wanafki wanaichamba idara si haba!.. ngojeni akamatwe mmoja akabinywe kende awe wa mfano ndo mtajua hamjui..😂
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Usalama wa taifa wa Tanzania ni kwaajili ya kulinda serikali iliyopo madarakani na sio kwa ajili ya kulinda taifa
 
Usikute alieanzisha uzi ni usalama sema anapima upepo aone komenti za watu wanawafanyia usalama!.. watanzania nao sio wanafki wanaichamba idara si haba!.. ngojeni akamatwe mmoja akabinywe kende awe wa mfano ndo mtajua hamjui..[emoji23]
Acha kutisha watu wewe..akamatwe kwa kosa gani...hii nchi utaonekana adui endapo utatishia maslahi ya kijana..hapo ndio utaoka kazi ya usalama wa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Wala hawajui bali unajua wewe mkuu.
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Serikali ya awamu ya tatu walichokifanya ni kupeleka marekebisho ya sheria Bungeni kiwaondolea nguvu hawa jamaa.
Wanachoweza kufanya ni kuripoti tu na wanaochukua hatua ni polisi.

Hili lilifanyika siyo kwa bahati mbaya bali wahuni serikalini walishajua kuwa Usalama wa Taifa ndo kikwazo pekee kinachoweza kuzuia mafisafi wasineemeke.

Kinachofanyika sasa ni kuwaingiza kwenye mitaguso ya kisiasa huku ikiwajengea hoja ya ndani kuwa wapinzani ndo maadui halisi wa Tanzania wakati maadui wa nchi ndo hao hao wanaowalinda. Nasema maadui kwa sababu nyingi ya sera na mikakati ya viongozi inakinzana na utashi wa nchi. Wanaigenisha nchi, wanakwapua mali na kwenda kuficha fedha kwenye nchi za kigeni, wanazuia wakulima na wafanyabiashara wa ndani kuneemeka na sera za nchi badala yake viongozi na watumishi wa umma wana ukwasi wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Hivyo, mimi naelewa kwa nini hawa jamaa hawana kauli wala hawawezi kuchukua hatua, ni kwa vile wanasiasa wanawatumia kwa malengo yao na si ya nchi. Maadui wetu wameikalia katiba na sheria wanazitumia kuwakandamiza wananchi wenye nchi

Inasemwa Mzalendo namba moja ni Rais, lakini kwa matendo tunaona mengi yanayotupa maswali kuhusu kauli hiyo.

Watu pekee wanaoweza kulaumiwa kwa haya yanayotokea na kukaa kimya ni sisi Wananchi. Wananchi wanajua ukweli lakini uoga na tamaa vinatuponza na tujilaumu kwa uzembe huu endelevu

Nakupa mfano hai.
Hii post yangu tayari inawaalika kuanza kunifuatilia ili mwenye switch akisema SUu! Mchezo unaisha yanatokea mawili, kupigwa kitu cha uhujumu au kuumaliza mwendo kwa kuilinda imani
 
HERI JAMES NA KIHONGOSI nawaomba hapa!

Njooni na VIJANA wenzenu wa DEEP STATE!.
 
Hao wapo kwa ajili ya kuilinda ccm isianguke. Wenzao wa china Kenya wapo bize kuiba taarifa za fursa za uchumi na uwekezaji nje ya nchi then uzileta kwenye nchi zao kisha wanatumwa watu wao wakaziibe, thus unaona wamejazana hadi vijijini wanachukua raslimali zetu kuzijenga nchi zao.
 
Usalama wapo, wanafanya kazi.. Tatizo wanaopewa report baada ya uchambuzi ndio shidaa na tatizo lingine ni ile kamlete
 
Kukosekana kwa UZALENDO HALISI mioyoni mwa watu WOTE nikubalieane na aliyesema hawa watu wamewekewa sheria inayowanyima uhuru kutekeleza majukumu yake.
Hii iwe Taasisi huru kikatiba lkb badala yake Tume ya Uchaguzi eti inawekewa sheria ya kutohojiwa popote.
Lakini nchi kuwa chini ya wanasiasa ni tatizo , wanasiasa lazima kuwe na chombo cha kuwathibiti, matokeo yake hawa Usalama wako chini ya wanasiasa.
Upelekwe mswaada bungeni hii Taasisi ipewe meno, lkn namna ya kuwapata watumishi wa taasisi hii ithibitiwe isiwe ya ukada au kujuana, ili kupata watu sahihi na Wazalendo wa Kweli . Katika watu mil 60 hatutakosa watu WAZALENDO


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.

Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Very good point, nionavyo wao wamekuwa makada wa chama chetu pendwa.
 
Hkn intellectual na intelligent hapa wote wanatafuta Mali tu

Siku mooja Niko pale kibo tegeta wakaja jamaa fln na vikaunda vyao wananiuliza hili gari lorry lako nasiki inalaza laki tatu kwa siku eti Ni Kweli nikamwambia hata laki nne inalaza kutegemeana na Kaz unazofanya akasema aisee boss wao nae anazo mbili Kam hz hz kumbe ndio anako pigia hela na mm nikachangia kwa kusema duh mbona mbili Chache hzo mm nakawaambia Kuna watu wanazo Hadi kumi na wapo wanapambna kuongeza mengine .

.akaniuuliza hili Ni la kwako au Ni bos wako unamsimamia nikamjibu Ni boss wangu namsimamia

akauliza Tena bos ako Ana magari mangapi Kama haya nikamjibu yako matano eti akaniuliiza InaweZa kutumbia bos wako anafanya Kaz wapi nikamjibu Hana kazi Ni mfanya biashara

akasema haiwezekani lzm atakuwa na kazi mpk kumili haya malory nikasema mm sijui. Akanuliza anaishi wapi nikamwambia anaishi mbweni .akaniuliza ukimpigia simu Sasa HV kuwa unatatizo anaweza kufika Happ nikawajibub hata ddk tano hazipiti lzm Yuko hapaa wangejuwa boss Ni Nani mtoto wanani boss wangu yule haogopagi mtu yeyeto anabishana maskari kana vile kuwatukana matusi mazito

wakaakah kimya wakakah pembeni kuongea na mwezake bas akarudi akasema POA bas dogo .wakapanda kikuruza Chao cheusi wakasepa walikuwa wadada wawili na jamaa moja jinga jinga tu


Bas mm nikasema kama usalama wenywe ndio Hawa taifa lina Kaz Kweli Kweli



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya awamu ya tatu walichokifanya ni kupeleka marekebisho ya sheria Bungeni kiwaondolea nguvu hawa jamaa.
Wanachoweza kufanya ni kuripoti tu na wanaochukua hatua ni polisi.

Hili lilifanyika siyo kwa bahati mbaya bali wahuni serikalini walishajua kuwa Usalama wa Taifa ndo kikwazo pekee kinachoweza kuzuia mafisafi wasineemeke.

Kinachofanyika sasa ni kuwaingiza kwenye mitaguso ya kisiasa huku ikiwajengea hoja ya ndani kuwa wapinzani ndo maadui halisi wa Tanzania wakati maadui wa nchi ndo hao hao wanaowalinda. Nasema maadui kwa sababu nyingi ya sera na mikakati ya viongozi inakinzana na utashi wa nchi. Wanaigenisha nchi, wanakwapua mali na kwenda kuficha fedha kwenye nchi za kigeni, wanazuia wakulima na wafanyabiashara wa ndani kuneemeka na sera za nchi badala yake viongozi na watumishi wa umma wana ukwasi wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Hivyo, mimi naelewa kwa nini hawa jamaa hawana kauli wala hawawezi kuchukua hatua, ni kwa vile wanasiasa wanawatumia kwa malengo yao na si ya nchi. Maadui wetu wameikalia katiba na sheria wanazitumia kuwakandamiza wananchi wenye nchi

Inasemwa Mzalendo namba moja ni Rais, lakini kwa matendo tunaona mengi yanayotupa maswali kuhusu kauli hiyo.

Watu pekee wanaoweza kulaumiwa kwa haya yanayotokea na kukaa kimya ni sisi Wananchi. Wananchi wanajua ukweli lakini uoga na tamaa vinatuponza na tujilaumu kwa uzembe huu endelevu

Nakupa mfano hai.
Hii post yangu tayari inawaalika kuanza kunifuatilia ili mwenye switch akisema SUu! Mchezo unaisha yanatokea mawili, kupigwa kitu cha uhujumu au kuumaliza mwendo kwa kuilinda imani
[emoji294][emoji294][emoji294][emoji294]
 
539FC428-003B-4464-99A5-02AA74EAE655.jpeg
 
Acha kutisha watu wewe..akamatwe kwa kosa gani...hii nchi utaonekana adui endapo utatishia maslahi ya kijana..hapo ndio utaoka kazi ya usalama wa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
Kumbe
 
ni kupongezana na kusifiana tu hakuna kingine , usalama wa fisiemu ndio walioko wa taifa haupo
 
Back
Top Bottom