True brother hii nchi imefikia hyo hatua tafuta hela Kula zako ugali na dagaa kunywa Maji kalale.Hangaika na maisha yako kijana
USSR
Ngoja Sasa tukutafute utueleze vizuri hayo matatizo ya taifa la Tanzania ni yepi.Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.
Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
usalama wa mchongo hamna kitu wamejaa watoto wa makada wa chama cha kijaniNinavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.
Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
Wakina Sabaya!Tuna usalama wa chama cha mapinduzi
Politicians tend to create problems and pretend to find the solution, kwa hiyo unajuaje Kama hawayajui? Where is Lowasa? Atuambie kuna mwaka kulikua na fuel shortage,akiwa primer, walifanya umafya meli zimeleta wese bandarini.Ninavyofahamu mimi taasisi hii lazima kuwe na wachumi, wanasheria, madokta, engineer nk., ibaki kusema hii idara kama kuna uwezekano ilitakiwa kuifumua na kuisuka upya, kwa haya matatizo tulikuwa nayo utafikiri nchini hakuna Usalama wa Taifa.
Nchi kuna matatizo mengi tu au mnafikiri matatizo ni vita tu? Kuna mfumuko wa bei, tozo, msaidieni Mama. Hawa mawaziri ni wanasiasa tu, hamna kitu, empty kabisa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] can I say something? Obviously not [emoji137]Hao ni vijana wa uvccm ambao wameandaa sherehe kupongeza rais kupanda boti.