Hivi ushawahi kukutana na hii?

Wewe umejuaje wanakunjana? unajuaje details za hotel kama sio mzoefu ni nini?ukitupa hili jibu itakusaidia hata unapotoa taarifa
 
Maana yake unajua vitu illegally
 
Ss yooote 9 mie 10 nataka kujua hizo hotel ww umejuaje taarifa zake, yaani umezipataje?
Kwa mfano tuseme, mgahawa au RESTAURANT fulani najua wana nyama choma, roast, makange, Chakula kizuri maana nillishaaenda kula hapo hivyo vitu so nakuwa na uzoefu na sehemu falani. Ila ww hizo hotel tuambie umepata je hizo taarifa zote?
 
Cha 🖊️,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…