Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwakweliWw ni me au ke?
Kama ni kee endelea kubaki hivyi hivyo kwa maana yule baba yako angejua kama una namba za yile mtu angejua kwamba unaliwa nae,
Hukusu wageni wa dada yako ungetaja tu wangejua kwamba huwa unakwenda kufumuliwa huko ,
Ww hauna changamoto yeyote isipokuwa bado mtoto wa mama kwa hiyo kuna vitu unavijua lkn unakosa uhuru wa kuonyesha kama unajua kwa sababu watakutilia shaka,
Wewe ndo umefafanua uhalisia wenyeweMimi pia imewahi kunitokea, sema hii huwa inatokana na mtu kuwa na tabia za kubadilika badilika kulingana na mazingira.
Unakuta mtu kuna namna anakuchukulia na wewe unajua jinsi anavyokuchukulia ikitokea akaleta jambo linalotoka nje ya mipaka ya vile anavyokuchukulia basi hata kama unalijua huwezi kutoa msaada ili kulinda heshima yako.
Kwahiyo wewe inaonekana nyumbani wanakuchukulia ni mtu mpole/mkimya ambae huna mambo mengi na kuna vitu vingi wanaamini huwezi kuvijua wala kuvifanya.
But ukiwa kazini au ukiwa na marafiki zako unakua na tabia nyingine tofauti na ile waliyokuzoea nayo nyumbani.
Ushuhuda wangu...
Nilikuaga na girlfriend wangu fulani hivi kitambo kidogo, alikua ananiamini sana coz sikuwa na makando kando kwahiyo asilimia mia moja aliamini yeye ndio malkia pekee ambae alikua anatawala kwenye falme za moyo wangu.
Sasa alipataga changamoto kule ikulu ambayo ilifanya ahangaike kidogo kuitafutia ufumbuzi na hiyo changamoto mimi nilishawahi kumshuhudia demu mwingine ambae nilikuaga nabembea kimtindo, but nikashindwa kutoa msaada coz nilihofia angeniuliza nilijuaje mambo ya sirini namna ile maana hata Google hakukua na jibu lililonyooka.
Kwahiyo huo ni mfano tu mmoja kati ya mingi ambayo itafanya uamini mtoa mada unavyochukuliwa sivyo ulivyo.
Na watu wa aina yako huwa wanaongoza kuwaua watu wengine kwa presha, kwasababu huwa wanafanya vitu ambavyo havitegemewi kwamba wangeweza kuvifanya hasa vile vilivyo kwenye negative side(jokes)
Ni sawa na mlokole ambae mnajua anasali sana toka utotoni mwake hawezi kukupa msaada wa ugonjwa unaohitaji tiba ya mganga wa kienyeji ambae yeye pia aliwahi kumsaidia kwa tatizo hilohilo na akapona.
Mkuu unainekana una umri mdogo lakini mambo yako ni makubwa sana. Hongera kwa kuijua dunia mapema.Hope Jumapili iko njema kwa wote,. Kwa ambao hamko sawa nawaombea mrejee kwenye hali zenu za kawaida..
Iko hivi,. Mimi hua nakutana na hii kitu sijui niiwekaje,. Yaani unakuta maybe mtu ana shida na kitu fulani labda kuelekezwa au kumpatia namna ya kukipata au kukijua,. Na ninao uwezo labda wa kumwelekeza na kitu nakijua vizuri kabisa ila nakua naogopa je nitaonekanaje au atanifikiriaje baada ya kumwambia maana vitu vingine unakuta nimevijua kwa namna za ajabu sana,.. Nitaweka mifano kadhaa
1.. Kuna siku mzee( baba yangu ) nilikua namsikia anaongea na watu tofauti tofauti kwenye simu almost kama saa zima,. Anaulizia kama kuna mtu ana namba ya mtu fulani ambaye ni kiongozi mkubwa tu kwa nafasi yake,. Alimuuliza hadi mama na marafiki zake wote hakuna aliyekua nayo,. To be honest namba nilikuwa nayo na nilitoka kuongea nae hata siku mbili hazijaisha lakini sasa nikawaza nikisema nimpe enhe nikiulizwa ilikuwaje nikapata namba yake na hua naongea nae nini,. Maana kama urafiki ni suala lisilowezekana ni mtu mzima,. Kwakweli sikumpa nilimwacha tu ahangaike maana sikua na maelezo endapo ningeulizwa maswali kama hayo🌚
2. Kuna siku dada yangu alikua na shughuli ( send off ) na kuna marafiki zake wa kutoka mbali walikua wanakuja ilibidi awatafutie hotel maana nyumbani kulikua na watu wengi sana,. Na kwa status yao kufikia lodge au guest ilikua haipendezi,. Sasa kwenye ile conversation walikua wanaulizana na mama ni hotel gani nzuri na gharama zake na vitu kama hivyo,. Walikua wanaulizia kama kuna mtu ana mawasiliano yao ya uhakika waulize vitu kama hivyo maana kutoka nyumbani mpaka zilipo kuna kaumbali kidogo halafu ukizingatia ni usiku,. Walihangaika wee hawakufanikiwa,.
Ila kwakweli hizo taarifa zote nilikua nazo yaani hizo hotel walizotaja nilikua najua gharama zao zote za accomodation,,. Mazingira, hadhi zao hata wangetaka picha ningewapa,. Kuna baadhi ya wahudumu nilikua nafahamiana nao,. Yaani kiufupi details zote nilikua nazo hadi menu lists zao na bei za vyakula vyao vyotee. ila sasa naanzaje kusema😃,. Nikiulizwa nimejuaje yote hayo na nilikua naenda lini na nani kufanya nini? Kwakweli majibu nilikua sina Maana sijawahi kuaga nyumbani naenda sehemu kama hizo, na mda wote wanajua niko kazini kama sio kanisani au nyumbani,. Kwakweli niliwaacha tu wahangaike hadi asubuhi wakaenda wenyewe,.
3. Hii hapa kuna siku nilikua niko na Jamaa ( mpenzi wangu )kuna mahali nilimsindikiza kwenye kikao wakati wa kurudi tukapitia mahali kula,. Asa eneo tulilopark gari ni eneo ambalo nalifaham vizuri tu na kuna magari kama matatu hivi Alphard yalikua yamepakiwa kwa pembeni na wenye hayo magari nawafahamu vizuri tu ,. Si nikaropoka bhana “ Haya magari haya yamepark hapa saizi lazima tu kuna watu wananjunjana “ akastuka mmmh,. Akaanza kunihoji umejuaje wewe na haya magari yana tinted nikabaki kujiuma uma tu nikapotezea mada.. Kiukweli najua sana na ushahidi ninao lakini sasa namna niliyojua jua inatatanisha kiasi kwamba nilionekana sina maana sikuile🥹😔,. Lakini tu najua ila sijui
Matukio ni mengi jamani mikono imechoka kuandika,. Tuambie na wewe kama inakukutaga hii tusimulie sisi hatukufaham hutapata shida😬
Duuh mwanangu hujatulia!Hope Jumapili iko njema kwa wote,. Kwa ambao hamko sawa nawaombea mrejee kwenye hali zenu za kawaida..
Iko hivi,. Mimi hua nakutana na hii kitu sijui niiwekaje,. Yaani unakuta maybe mtu ana shida na kitu fulani labda kuelekezwa au kumpatia namna ya kukipata au kukijua,. Na ninao uwezo labda wa kumwelekeza na kitu nakijua vizuri kabisa ila nakua naogopa je nitaonekanaje au atanifikiriaje baada ya kumwambia maana vitu vingine unakuta nimevijua kwa namna za ajabu sana,.. Nitaweka mifano kadhaa
1.. Kuna siku mzee( baba yangu ) nilikua namsikia anaongea na watu tofauti tofauti kwenye simu almost kama saa zima,. Anaulizia kama kuna mtu ana namba ya mtu fulani ambaye ni kiongozi mkubwa tu kwa nafasi yake,. Alimuuliza hadi mama na marafiki zake wote hakuna aliyekua nayo,. To be honest namba nilikuwa nayo na nilitoka kuongea nae hata siku mbili hazijaisha lakini sasa nikawaza nikisema nimpe enhe nikiulizwa ilikuwaje nikapata namba yake na hua naongea nae nini,. Maana kama urafiki ni suala lisilowezekana ni mtu mzima,. Kwakweli sikumpa nilimwacha tu ahangaike maana sikua na maelezo endapo ningeulizwa maswali kama hayo🌚
2. Kuna siku dada yangu alikua na shughuli ( send off ) na kuna marafiki zake wa kutoka mbali walikua wanakuja ilibidi awatafutie hotel maana nyumbani kulikua na watu wengi sana,. Na kwa status yao kufikia lodge au guest ilikua haipendezi,. Sasa kwenye ile conversation walikua wanaulizana na mama ni hotel gani nzuri na gharama zake na vitu kama hivyo,. Walikua wanaulizia kama kuna mtu ana mawasiliano yao ya uhakika waulize vitu kama hivyo maana kutoka nyumbani mpaka zilipo kuna kaumbali kidogo halafu ukizingatia ni usiku,. Walihangaika wee hawakufanikiwa,.
Ila kwakweli hizo taarifa zote nilikua nazo yaani hizo hotel walizotaja nilikua najua gharama zao zote za accomodation,,. Mazingira, hadhi zao hata wangetaka picha ningewapa,. Kuna baadhi ya wahudumu nilikua nafahamiana nao,. Yaani kiufupi details zote nilikua nazo hadi menu lists zao na bei za vyakula vyao vyotee. ila sasa naanzaje kusema😃,. Nikiulizwa nimejuaje yote hayo na nilikua naenda lini na nani kufanya nini? Kwakweli majibu nilikua sina Maana sijawahi kuaga nyumbani naenda sehemu kama hizo, na mda wote wanajua niko kazini kama sio kanisani au nyumbani,. Kwakweli niliwaacha tu wahangaike hadi asubuhi wakaenda wenyewe,.
3. Hii hapa kuna siku nilikua niko na Jamaa ( mpenzi wangu )kuna mahali nilimsindikiza kwenye kikao wakati wa kurudi tukapitia mahali kula,. Asa eneo tulilopark gari ni eneo ambalo nalifaham vizuri tu na kuna magari kama matatu hivi Alphard yalikua yamepakiwa kwa pembeni na wenye hayo magari nawafahamu vizuri tu ,. Si nikaropoka bhana “ Haya magari haya yamepark hapa saizi lazima tu kuna watu wananjunjana “ akastuka mmmh,. Akaanza kunihoji umejuaje wewe na haya magari yana tinted nikabaki kujiuma uma tu nikapotezea mada.. Kiukweli najua sana na ushahidi ninao lakini sasa namna niliyojua jua inatatanisha kiasi kwamba nilionekana sina maana sikuile🥹😔,. Lakini tu najua ila sijui
Matukio ni mengi jamani mikono imechoka kuandika,. Tuambie na wewe kama inakukutaga hii tusimulie sisi hatukufaham hutapata shida😬
Sema na Moyo wako!Hapana sio kweli,. Namna niliyojulia hata nikisema hamtaniamini tatizo😒