Hivi ushawahi kukutana na hii?

Hivi ushawahi kukutana na hii?

Next time usiache kutoa msaada, tumia mbinu za kuwazubaisha watu ili wasikosea msaada.

Mfano, hiyo Hotel ni kubwa, taarifa zao zipo mtandaoni(hata kama hazipo), unawaambia "ngoja niingie online niangalie mawasiliano yao", its simple mbona. Watu wanachapana kwenye alphard, unasema tu, "kwa namna haya magari yalivyopaki, na siku hizi watu walivyo, hapa watu wanakulana"....

Usijekuwa na anxiety tu, ni kaugonjwa pia!
 
Next time usiache kutoa msaada, tumia mbinu za kuwazubaisha watu ili wasikosea msaada.

Mfano, hiyo Hotel ni kubwa, taarifa zao zipo mtandaoni(hata kama hazipo), unawaambia "ngoja niingie online niangalie mawasiliano yao", its simple mbona. Watu wanachapana kwenye alphard, unasema tu, "kwa namna haya magari yalivyopaki, na siku hizi watu walivyo, hapa watu wanakulana"....

Usijekuwa na anxiety tu, ni kaugonjwa pia!
Shida yeye ni mlengwa, she feels guilty, sio rahisi kumuelekeza mtu mahali wanapouza nyapu kama wewe ni mnunuzi na unaemuelekeza mnaheshimiana.
 
Me naachaga kuwasaidia au kuongelea kitu/jambo fulani hivyo hivyo maana vijijini ukiwazidi uelewa kidogo tu tayari wewe ni mpelelezi! Ya nini kusababishiwa watu kukuepuka na kukunyanyapaa
 
Next time usiache kutoa msaada, tumia mbinu za kuwazubaisha watu ili wasikosea msaada.

Mfano, hiyo Hotel ni kubwa, taarifa zao zipo mtandaoni(hata kama hazipo), unawaambia "ngoja niingie online niangalie mawasiliano yao", its simple mbona. Watu wanachapana kwenye alphard, unasema tu, "kwa namna haya magari yalivyopaki, na siku hizi watu walivyo, hapa watu wanakulana"....

Usijekuwa na anxiety tu, ni kaugonjwa pia!
Kwakweli,. Nitajaribu siku nyingine
 
Back
Top Bottom