Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalo ni gereza hiloKuna namna wazazi wangu na watu wanaonizunguka wananichukulia,. So hua naogopaga kusema wasije kunihisi vibaya
Kwahiyo hii ndio tag?🤔😁😁😁Kuna vitu ili kuvijua lazima uwe na uzoefu navyo, toto ulijuaje kuna watu wananjunjana kwenye gari? 😊@ephen_
wee mlaini tuu kwangu unabisha?niingie kazini?Umezoea michezo ya kipuuzi. Basi unadhani kila mmoja utammudu.
Stupid!.
Hahahaha mbona unapiga kwenye mshonoKwa hiyo hapa unatuambia kuwa na wewe ni MALAYA kama MALAYA.
Ndo ukweli, kwanini uogope kusema unajua?Hapana mkuu😒
Shida yeye ni mlengwa, she feels guilty, sio rahisi kumuelekeza mtu mahali wanapouza nyapu kama wewe ni mnunuzi na unaemuelekeza mnaheshimiana.Next time usiache kutoa msaada, tumia mbinu za kuwazubaisha watu ili wasikosea msaada.
Mfano, hiyo Hotel ni kubwa, taarifa zao zipo mtandaoni(hata kama hazipo), unawaambia "ngoja niingie online niangalie mawasiliano yao", its simple mbona. Watu wanachapana kwenye alphard, unasema tu, "kwa namna haya magari yalivyopaki, na siku hizi watu walivyo, hapa watu wanakulana"....
Usijekuwa na anxiety tu, ni kaugonjwa pia!
Kwamba na yeye anawekwa kwenye hayo magari🤣🤣🤣 mkuu mimi huko sijafika, ila scenario kama hizo rahisi sana kuzizima.Shida yeye ni mlengwa, she feels guilty, sio rahisi kumuelekeza mtu mahali wanapouza nyapu kama wewe ni mnunuzi na unaemuelekeza mnaheshimiana.
Kwakweli,. Nitajaribu siku nyingineNext time usiache kutoa msaada, tumia mbinu za kuwazubaisha watu ili wasikosea msaada.
Mfano, hiyo Hotel ni kubwa, taarifa zao zipo mtandaoni(hata kama hazipo), unawaambia "ngoja niingie online niangalie mawasiliano yao", its simple mbona. Watu wanachapana kwenye alphard, unasema tu, "kwa namna haya magari yalivyopaki, na siku hizi watu walivyo, hapa watu wanakulana"....
Usijekuwa na anxiety tu, ni kaugonjwa pia!