Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
2007 nilimpoteza jamaa yangu kwa uzembe huu huu,mkewe yupo labor anajifungua yeye akajiiba kwenda kulala kwa malaya kumbe jamaa aliyempangia demu alikuwa na taarifa mara jamaa akavamia ghafla.
Kufupisha story tu nikwamba mshkaji alichomwa kisu akafa bila hata kumuona mwanae wa pekee huku mwanae akiishia kukua akiiona sura ya baba yake kwenye picha.
Haya mambo ni ya kuyaepuka sana siyo yakuyakaribia.
Kufupisha story tu nikwamba mshkaji alichomwa kisu akafa bila hata kumuona mwanae wa pekee huku mwanae akiishia kukua akiiona sura ya baba yake kwenye picha.
Haya mambo ni ya kuyaepuka sana siyo yakuyakaribia.