Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Ambapo yatakuja majina tusiyoyataka kisha wale waliokatwa watakua wana kisasi then usiku watakua ACT na mchana CCM kumbuka kilichotokea kwa akina Idd Azan mpk akatafutwa dakika za lala Salama lkn wapiiiiMkuu G Sam, wahamiaji hawatapata taabu kwasababu CCM imebadili utaratibu, unaanza uteuzi kwanza wa majina matatu ndio yanakwenda kupigiwa kura.
Hivyo wale wanaotakiwa, watabebwa.
P