Hivi utajisikiaje mbunge umehamia CCM halafu unaenda kukataliwa na wanaccm kwenye kura za maoni? Angalizo: mtatukanwa sana na wapinzani wenu chamani!

Umemaliza
 
Kuna wana CCM wangapi wanaosubili hizo teuzi?..
 
Wao wanafikiri wakina Polepole na Magu ni wajinga wakati wamewahadaa kuwapa vyeo ili kuwavuta. Subiri uone hapo Momba kama huyu dogo atapata ubunge. Si mwezi wa 10 tuu hapo.
Anafikiri bashasha za Ndugai zile ni za kumpenda sana.
 
Wao wanafikiri wakina Polepole na Magu ni wajinga wakati wamewahadaa kuwapa vyeo ili kuwavuta. Subiri uone hapo Momba kama huyu dogo atapata ubunge. Si mwezi wa 10 tuu hapo.
Anafikiri bashasha za Ndugai zile ni za kumpenda sana.
Silinde ubunge ndo basi tena...hawezi kuupata hata kwnn
 
Wamenyia kambi waliowabeba ndio watakaowashusha.kiufupi utawakuwa mwanzo wao wa kupotea kisiasa kama mzee mamvi.pia watasema mengi walivyogereshwa na kupewa ahadi nzito nzito.

Watalia kilio kama enzi za nuhu wakati wa gharika .bahati mbaya muda hautakuwa rafiki kwao.
 

Kwani TLP na CHAUSTA zinafanyakazi gani? Tutaenda huko braza!
 
Ninavyo fahamu hawawezi kukosa nafasi za uteuzi na hata wakikosa watapatiwa nafasi zingine
 
Ninavyo fahamu hawawezi kukosa nafasi za uteuzi na hata wakikosa watapatiwa nafasi zingine
 
Shida mwenye kiti atataka aku prove wrong hao wote wataambiwa wateuliwe kwa lazima kuwavutia wengine wahamie kama mafuriko
 
Ongeza sauti kidogooo
 
Wakuu, ni kweli kwamba Paskali aligombea na akapata kura moja2
Hicho kilichowapata hao wengine walistahili.
 
Wengine tuliviona mapema vichwa vyao jinsi vilivyojaa funza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…