Hivi uwepo wa maafisa wa Ikulu wenye asili ya Rwanda na Burundi si tatizo kwa usalama?

Hivi uwepo wa maafisa wa Ikulu wenye asili ya Rwanda na Burundi si tatizo kwa usalama?

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.
mbona mi sikuhelewe hiyo balance unamaanisha nini kwani ngara bukoba kigoma sio sehemu ya tanzania? kuna ubaya gani mtu kutokufanya kazi ikulu kisa ametokea maeneo hayo.
 
mbona mi sikuhelewe hiyo balance unamaanisha nini kwani ngara bukoba kigoma sio sehemu ya tanzania? kuna ubaya gani mtu kutokufanya kazi ikulu kisa ametokea maeneo hayo.
haha..ukisoma nilichoandika ndio utaona shida..
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.


Kwanini Sasa? wakati enzi za VITA na IDD AMIN kulikuwa na MAOFISA waliokuwa na ASILI ya UGANDA -- WENGI TU na kulikuwa hakuna Matatizo yoyote...

Ni jinsi Mtawala wa wakati huo anavyoendesha hiyo BEEF...

*** STRONG LEADERSHIP MATTER
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.

Ni makabila gani hayaruhusiwi kuwa wanausalama hapa Tz?
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.
Wataje kwa majina ambao unawahisi ni wa DRC,Burundi na DRC
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.

Acha ubaguzi wanaofanya kazi ikulu wanafanyiwa upekuzi(vetting) wa kufa mtu
 
kikwete we need another operation kimbunga in your defence and security forces
 
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.

Kwani rais Kabila alipigwa risasi na wageni?. Mbona kabila Jr analindwa na wa tz......
.
 
Wachagga wanadhani nafasi zao za Ikulu zimechukuliwa na wahaya na waha! Enzi za Anna Mkapa zimepita na hazitorudi Milele.
 
Waha ni watu makini Ikulu, hawatikiswi na tamaa wala wizi kama makabila flan. Kwa kutambua hvyo Hayat Baba wa Taifa aliwatumia sana waha, watu wa kusini, rukwa, mbeya na Iringa.
 
Hii chi tukiendelea namna hii tutapigana mapanga sasa hvi, hizi nyie vijana wa CHADEMA mnasimama kabisa na kutangaza ubaguzi wa aina hii, ina maana mtu kama anatoka kigoma, kagera au katavi hasitahili kufanya kazi ikulu kisa anatokea mpakani?

Samahani kwa kutumia lgha kali lakini tunaelekea kubaya, mwanzisha mada angalia nafasi yako kwenye CHADEMA na heshimu umoja wa watanzania vinginevyo nitaanza kuamini kuwa CHADEMA ni wakabila maana nikikuona ww naona mwongozo wa CHADEMA nategemea uweze kusimamia vitu vinavyoleta tja kwenye taifa, post kama hii haishushi adhi yako tu bali inashusha hadhi ya chama chako na kukatisha tamaa wapenda mabadiliko wanaofikiri CHADEMA ni sehemu ya kukimbilia

Unafanya watu waamini kuwa Zito hakuwa na matatizo ila kwa kuwa alikuwa anatokea kigoma ndio maana mkaamua kumfukuza, sasa ofisi za CHADEMA kwenye mikoa hiyo wanachama zinapata wapi au wanachama wenu ni wachaga tu walioko kwenye hiyo mikoa?
 
Kwani rais Kabila alipigwa risasi na wageni?. Mbona kabila Jr analindwa na wa tz...... .
Ila si wageni niwasemao.....nadhani ndio shida yako kuelewa.naona umechanganya sana mambo.Waliompiga Kabila ni wageni..mapandikizi ya ukanda huo ulio na shaka
 
Wachagga wanadhani nafasi zao za Ikulu zimechukuliwa na wahaya na waha! Enzi za Anna Mkapa zimepita na hazitorudi Milele.
Ulichoshindwa soma ..hadi ukawa km trojan horse..ni kwamba.Km Rais alikuwa si mchaga ila wachaga wakatawala...sijui unajisifu nini sasa km wachaga hawatatawala bila kuwa na mchaga.Mwenyewe umekiri kuwa wachaga hawahitaji sana kuwa rais mchaga.Wala kuwa vibaraka wa Ikulu. Ulichoandika hapa ni wazi unajua kuwa watarudi na wapo..ndio maana umeanza jifikirisha kuwa enzi zimepita na unatamani zisirudi..nilidhani hata unasema kuwa walishawahi kuwa na rais ..hatatakaa tena wampate..teh teh..ujinga sijui mmerithi wapi wa namna hii..yaani kuna millions of ways ya kuwatumikisha nyie. Wachaga kwa taarifa yako hawafanyi mambo ya kufikirika...ndio wapo certain kuwa wanakwenda hadi ktk mazindiko yenu na chuki zenu,ila wanapiga bao kati yenu.
 
Waha ni watu makini Ikulu, hawatikiswi na tamaa wala wizi kama makabila flan. Kwa kutambua hvyo Hayat Baba wa Taifa aliwatumia sana waha, watu wa kusini, rukwa, mbeya na Iringa.
Kwa vile anajua mnayo shida kubwa sana..sifa zinatosha watumikisha....ila ndio maana kuna failure sana ktk mipango ya ikulu...kwa watu wa hovyo kiasi hiki ni ngumu sana kuendelea.Mtazunguka sana ila mwishow a siku issue zitajitenga na mtaona nai ana rule the country bila kupanga ila kwa kufanya mambo makini.
 
Back
Top Bottom