Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia rais akipigwa risasi ikulu km kwa kabila? Nauliza hili kwa vile ktk watu wanaoweza badilisha identity na majina yao kirahisi na hata uraia wa nchi zao kutokea Burundi,kwenda Congo, na Rwanda au uganda, huku kwa tanzania wakijiita wa ngara, wakijiita wa bukoba au kigoma ....ni watu wanaotoka haya maeneo. Kwa sheria zetu za usalama za kuchagua makabila fulani na kuacha mengine naona km vile ni mikakatai mibaya sana kwani balance ikishapungua basi kutaanza kuwa na watu na mipaka ya kuingia watu wengine na baadaye nchi kuanza kuwa ktk state ya mapinduzi ya kikabila kila anapongia mtu asiye wao.