Hivi V8 ya Ray Kigosi aliyomjibu marehemu Kanumba bado ipo?

Hivi V8 ya Ray Kigosi aliyomjibu marehemu Kanumba bado ipo?

Kwenye uigizaji walionza wote na kundi la Kaole, lakini kwenye movie alianza kanumba na Vicent ndio akafuata
Ray ndie alianza kipindi Kanumba anatoka na tamthilia ya Taswira ple Kaole Ray alishaonekana tamthilia kadhaa kabla yake akiwa na wakongwe wengine Mtunis,Cheni n.k ila Kanumba akili mingi na kujiongeza baadae ikaonekana km yeye ndie mkongwe kuliko Ray
 
Ray ndie alianza kipindi Kanumba anatoka na tamthilia ya Taswira ple Kaole Ray alishaonekana tamthilia kadhaa kabla yake akiwa na wakongwe wengine Mtunis,Cheni n.k ila Kanumba akili mingi na kujiongeza baadae ikaonekana km yeye ndie mkongwe kuliko Ray
Kwenye movie uko sahihi Kanumba wa kwanza ila ustar ulianza na Ray
 
Hua nawaonea huruma wanaoaamini Kanumba angekuepo filamu zingekua advanced.

Hebu taja muvi yake moja ambayo tukiambiwa tupeleke muvi yetu bora tutaichukua na kuipeleka.

Mimi ni wa kitambo kidogo nimeangalia Shamba Kubwa, The Witness, Mzee Toboa Tobo (Sultan Tamba huyu), Girlfriend, Misukosuko, Nsyuka, Fungu la Kukosa etc

Bongo hatutatoboa mpaka tujue kuandika script na wahusika wanaojielewa, kwangu Kanumba na Ray ni average actors and awful directors.
 
Hua nawaonea huruma wanaoaamini Kanumba angekuepo filamu zingekua advanced.

Hebu taja muvi yake moja ambayo tukiambiwa tupeleke muvi yetu bora tutaichukua na kuipeleka.

Mimi ni wa kitambo kidogo nimeangalia Shamba Kubwa, The Witness, Mzee Toboa Tobo (Sultan Tamba huyu), Girlfriend, Misukosuko, Nsyuka, Fungu la Kukosa etc

Bongo hatutatoboa mpaka tujue kuandika script na wahusika wanaojielewa, kwangu Kanumba na Ray ni average actors and awful directors.
Acha roho mbaya
Soon dhambi kukubali kazi nzuri ya mtu mwingine

Unasemaje kuhusu Moses ya Steven kanumba?
Village pastor, Oprah, red valentine, family tears na nyingine nyingi
Acha roho mbaya ndugu
 
Acha roho mbaya
Soon dhambi kukubali kazi nzuri ya mtu mwingine

Unasemaje kuhusu Moses ya Steven kanumba?
Village pastor, Oprah, red valentine, family tears na nyingine nyingi
Acha roho mbaya ndugu
Acha ufala.

Kutokikubali kitu ni roho mbaya? Acha ufala.

Kwa wenzetu Marekani soko la filamu linahama na kubadilika kuendana na wakati husika mfano zamani ilikua filamu nyingi ni za action waliita badassery baada ya hapo ikaja kwenye drama, crime na comedy. Zikaja biopics n.k.

India wakaona hilo wakaiga, kuna muvi inaitwa Kramer vs Kramer wahindi wakaiiga hamna action ni drama tupu.

Sisi tulianza na action hizo shamba kubwa, tukatrnsform tukaingia kwenye drama na horror kwa msaada wa Sultan. Alivyokuja Ray na Kanumba wakaingia kwenye romance na wakastick nayo wakasimamisha gurudumu la filamu hapo, hapa Tanzania kuna historia ya vita, kuna maeneo yana historia kama za Mzimu wa Kolelo, kuna watu mashuhuri wamepita, tuna mwanariadha aliumia mguu akiwa mashindanoni huko Ulaya na akalazimisha kumaliza mbio, hizo ni aina ya filamu zingeweza kupambana huko nje.

Uigizaji wao ni average with their awful directing hakuna movie hata moja kutoka kwa hao wawili unaweza ukabrag kwa mgeni kwamba tukae chini tuangalie. Sasa katika muvi ulizonitajia hapo andika moja moja kisha sema hii inahusu mhusika aliyetaka moja mbili tatu kwa ufupi.

Acha ufala.
 
Hua nawaonea huruma wanaoaamini Kanumba angekuepo filamu zingekua advanced.

Hebu taja muvi yake moja ambayo tukiambiwa tupeleke muvi yetu bora tutaichukua na kuipeleka.

Mimi ni wa kitambo kidogo nimeangalia Shamba Kubwa, The Witness, Mzee Toboa Tobo (Sultan Tamba huyu), Girlfriend, Misukosuko, Nsyuka, Fungu la Kukosa etc

Bongo hatutatoboa mpaka tujue kuandika script na wahusika wanaojielewa, kwangu Kanumba na Ray ni average actors and awful directors.
mwaka wa kumi huu toka afariki,unafikiri kama alianza kuzurula nigeria miaka ile 2008 leo hii angekuwa kashafika wapi???

sisi tunatathmini uthubutu sio aina ya kazi alizofanya mkuu.
 
mwaka wa kumi huu toka afariki,unafikiri kama alianza kuzurula nigeria miaka ile 2008 leo hii angekuwa kashafika wapi???

sisi tunatathmini uthubutu sio aina ya kazi alizofanya mkuu.
Baada ya kwenda na kuigiza na wakina Ramsay nini kikafuata?

Na ile Dar 2 Lagos inatosha kuhifadhiwa Makumbusho ya Taifa kwamba ni cultural reference au for aesthetic reasons? Ilikua miyeyusho tu
 
Acha ufala.

Kutokikubali kitu ni roho mbaya? Acha ufala.

Kwa wenzetu Marekani soko la filamu linahama na kubadilika kuendana na wakati husika mfano zamani ilikua filamu nyingi ni za action waliita badassery baada ya hapo ikaja kwenye drama, crime na comedy. Zikaja biopics n.k.

India wakaona hilo wakaiga, kuna muvi inaitwa Kramer vs Kramer wahindi wakaiiga hamna action ni drama tupu.

Sisi tulianza na action hizo shamba kubwa, tukatrnsform tukaingia kwenye drama na horror kwa msaada wa Sultan. Alivyokuja Ray na Kanumba wakaingia kwenye romance na wakastick nayo wakasimamisha gurudumu la filamu hapo, hapa Tanzania kuna historia ya vita, kuna maeneo yana historia kama za Mzimu wa Kolelo, kuna watu mashuhuri wamepita, tuna mwanariadha aliumia mguu akiwa mashindanoni huko Ulaya na akalazimisha kumaliza mbio, hizo ni aina ya filamu zingeweza kupambana huko nje.

Uigizaji wao ni average with their awful directing hakuna movie hata moja kutoka kwa hao wawili unaweza ukabrag kwa mgeni kwamba tukae chini tuangalie. Sasa katika muvi ulizonitajia hapo andika moja moja kisha sema hii inahusu mhusika aliyetaka moja mbili tatu kwa ufupi.

Acha ufala.
nakuelewa ndugu kuhusu tasnia ya filamu bado sana kwa hapa Tanzania tunakosa madirector wazuri hapa mpaka watu wapitie shule ya kutosha,cinematography,script writer,editor wazuri kidogo tunaweza kufanya jambo la maana.
 
Ray anamiliki harrier tako la nyani ya silver kwa ushahidi zaidi nenda magomeni pale lango la jiji kuna saloon ya bitego ndio anapendelea kuwa pale
Period
Kwa hiyo anashinda saloon tu muda wote, hana kazi za kufanya?
 
Acha roho mbaya
Soon dhambi kukubali kazi nzuri ya mtu mwingine

Unasemaje kuhusu Moses ya Steven kanumba?
Village pastor, Oprah, red valentine, family tears na nyingine nyingi
Acha roho mbaya ndugu
HIzo village pastor, oprah, red valentine ,family tears sio muvi za kanumba aliigiza tu akalipwa ni muvi za mtitu zote labda hiyo moses
 
Back
Top Bottom