Hivi V8 ya Ray Kigosi aliyomjibu marehemu Kanumba bado ipo?

Tanzania hakuna movie ni maigizo tu! Af kibaya zaidi hakuna telents mtu akipata tu jina anataka nae aigize movie! Mfano Wema kaanza kuigiza baada ya kutoka miss tz, idriss baada ya kutoka big brother! Yani mtu uache kuangalia extraction uangalie mazinga umbe ya bongo movie kweli🚮
 
Tatizo wadangaji na Mario
Wote wameingia kwenye tasnia
Hiyo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…