Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nisipovaa then hivi viumbe vya kike vikinipitia karibu chuma huenda dubei fast so bila chupi ni aibu labda nichomolee shatiNdugu,
Binafsi sijui na sijui kwasababu leo yapata miaka 13 sivai chupi!
Kwa dada zetu chupi ni muhimu hasa wkt Wa hedhi Na kna cc ni muhim kwani boxer peke yake sio kwani mshidede unaweza ukacmama dede kwa hisia za ugwadu hlf uisome mbele ya semina au mbio za mwengekazi yake ni kuzibana sehemu za siri tight ili zisibanwe na nguo za nje na kuonekana,pia kwa akina mama/dada asipova akiwa amevaa gauni au sketi akikaa au kuinama si kila kitu kitaonekana? Pia inasaidia kama dharura pale suruali au kaptula ikichanika ghafla