Hivi vikundi ni hatari sana kwa afya

Hivi vikundi ni hatari sana kwa afya

Unafikiri hawa wasamoa wanavipiga hamsini kwa siku?
tavita_obesity.jpg

2049.jpg
😅😅😅
 
Hahaa, basi tuu ni kinyaa, ila kinyesi hakigusi kabisa hicho kitu, utumbo ndio unapita hapo kati, ukiuvuta unatoka na uchafu wake, hilo ni housing tuu la utumbo.

Ila hii mada kiboko,
 
Marekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.

Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana na bahati mbaya vimejipatia sana umaarufu maeneo ya uswazi.
View attachment 2611765
Tanzania hivyo ni vitafunwa vya kushushia bia, soda na juisi, ila wanywa gongo hawavipendi bila ndimu kwa wingi. Maeneo yote Tanzania hivyo, miguu na vichwa vinalika na ngozi za ng'ombe zinatengenezwa supu. Kisa cha kuishutumu marekani ni nini! Utakuwa umehisisha na upinde wa mvua wewe!
 
Back
Top Bottom