Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilijua ni typing error anataka kuandika Vikindu.Mimi nilipo soma haraka haraka nikajua inacho elezewa ni VIKINDU ya Kule kuelekea KISEMVULE....
😅😅😅Nilidhani mtoa mada anamaanisha "vikundi " vya kukopeshana.
😅😅😅Unafikiri hawa wasamoa wanavipiga hamsini kwa siku?
![]()
![]()
hahahahaKuna mtu kadindisha.
Hata mimi kwa haraka nilifikiri hivyo! Kumbe ni hivyo vidude!Nilidhani mtoa mada anamaanisha "vikundi " vya kukopeshana.
Vitamu sana hivyo....ule utumbo wa mavi na tundu lake huondolewa.Hawaoni kinyaa!
Siwezi kula kabisa
Masikio sikia ni vikunduVi nini
Mdomo Koma
Ila vitamu Sana aise ,jaribu siku moja hutaacha kuvitafuna .yaani mm nikiagizaga kuku Basi nataka mgongo wa kuku .Hawaoni kinyaa!
Siwezi kula kabisa
Tanzania hivyo ni vitafunwa vya kushushia bia, soda na juisi, ila wanywa gongo hawavipendi bila ndimu kwa wingi. Maeneo yote Tanzania hivyo, miguu na vichwa vinalika na ngozi za ng'ombe zinatengenezwa supu. Kisa cha kuishutumu marekani ni nini! Utakuwa umehisisha na upinde wa mvua wewe!Marekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana na bahati mbaya vimejipatia sana umaarufu maeneo ya uswazi.
View attachment 2611765
Mzandiki wewe, hivi vinauzwa bei ya jumla na rejareja, na ngozi ya ng'ombe ni supu nzuri sana kuliko kitimoto.Hivi soko la vikundu bongo lipo?
Bongo vinalika sana uswazi.Hivi soko la vikundu bongo lipo?