Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Sawa sawa mkuu.

Kama ni hivi basi tuko uchi zaidi ya hata nilivyokua nafikilia... Anyway hata hivyo hatuna maajabu.
Ndiyo maana Elon Musk alikataa kuwasaidia Ukreni kubaini shabaha za mahasimu wao Warusi. Kadiri teknolojia inavyozidi kukua ndivyo faragha ya mwanadamu inavyopungua zaidi.

Rejea mifumo ya usalama inayohakili (scan) kwenye maeneo nyeti kama mahoteli mashuhuri, bandarini, viwanja vya ndege, nk., ambavyo kimsingi huona hadi kongosho na bandama zilivyo mwilini.
 
Ndiyo maana Elon Musk alikataa kuwasaidia Ukreni kubaini shabaha za mahasimu wao Warusi. Kadiri teknolojia inavyozidi kukua ndivyo faragha ya mwanadamu inavyopungua zaidi.

Rejea mifumo ya usalama inayohakili (scan) kwenye maeneo nyeti kama hoteli mashuhuri, bandarini, viwanja vya ndege, nk., ambavyo kimsingi huona hadi kongosho na bandama zilivyo mwilini.
Duh!
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Ni wanajeshi wa Israel wana survey Dunia
 
LABDA WAMEIMPROVE KWENYE NCHI AMBAZO HAZINA RADA YANI NI NJIA YA KITOTO SANA UPITISHE MADAWA KWA DRONE USIKAMATWE LABDA NCHI HIYO RADA ZAKE ZIZIMWE KIMCHONGO.
Niliwahi kushuhudia kitu kama hicho kwenye usafirishaji wa madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini ..drone inafungiwa vifurushi kwenye kamba na kupaa navyo oupeleka sehemu stahiki. Sasa hivi wauza ngada wame improve sana.
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Spacex satellite train
 
LABDA WAMEIMPROVE KWENYE NCHI AMBAZO HAZINA RADA YANI NI NJIA YA KITOTO SANA UPITISHE MADAWA KWA DRONE USIKAMATWE LABDA NCHI HIYO RADA ZAKE ZIZIMWE KIMCHONGO.
Akili zako mbovu inamaana ujui uwezo wa drone ? Hata yanayo tokea ukrain ujui madawa sikuizi ysnasafirishwa hadi na drone za majini ..pia kumbuka kuna drone za watu binafsi mbona watu wanazirusha tu rada kuona drone ni ngumu mno drone zipo kama ndege viumbe hai kuwaona kwenye rada siyo rahisi ...jifunze yanayo tokea ukrain na israel....hsta marekani walikuwa wanalalamika kuwa wayza madawa ya kulevya wanatumia drone za majini kusafirisha madawa
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Hiyo ni mfano wa fotokopi ya treni ya Sgr, kasi ya treni hutengeneza vumbi ambayo huleta taswira ya nakala ya picha angani, hii ilianza kutokea siku treni ilipoanza safari, na ukiangalia kwa makini utaona vitu kama bundi na na nyani vikirukaruka kwa juu yake.
 
Ila kile kifaa kilikuwa mbali na kikubwa hivyo hawezi kubeba ngada coz ni illegal
Kauli yako imetufundisha kuwa wewe ni mpumbumbavu kwa ulicho andika ...hivyo umeshinda tunzo ya dhahabu ya kumiliki upumbavu wa hali ya juu kabisa gredi 1...pia kama ulikuwa unajua ni nini si usinge uliza nimekuambia na madini yanayoroshwa kwa njia hizo pia
 
Wewe Endelea na AKILI Hizi Hizi za vijiweni Basi madawa ya kulevya Yangejaa Pale China na Dunia nzima kila cocaine cartel angekuwa yeye anatuma tu drone ikiwa imebeba makilo ya kutosha huku yuko chumbani kwake na kuyatupa tu China kazi inakuwa imeisha yeye ni kulaga tu pesa akiwa chumbani simple like That 😁😁 HIVI UNAAKILI WEWE 😁🤔

Akili zako mbovu inamaana ujui uwezo wa drone ? Hata yanayo tokea ukrain ujui madawa sikuizi ysnasafirishwa hadi na drone za majini ..pia kumbuka kuna drone za watu binafsi mbona watu wanazirusha tu rada kuona drone ni ngumu mno drone zipo kama ndege viumbe hai kuwaona kwenye rada siyo rahisi ...jifunze yanayo tokea ukrain na israel....hsta marekani walikuwa wanalalamika kuwa wayza madawa ya kulevya wanatumia drone za majini kusafirisha madawa
 
Wewe Endelea na AKILI Hizi Hizi za vijiweni Basi madawa ya kulevya Yangejaa Pale China na Dunia nzima kila cocaine cartel angekuwa yeye anatuma tu drone ikiwa imebeba makilo ya kutosha huku yuko chumbani kwake na kuyatupa tu China kazi inakuwa imeisha yeye ni kulaga tu pesa akiwa chumbani simple like That 😁😁 HIVI UNAAKILI WEWE 😁🤔
Kwa hiyo unadhani madawa ya kulevya ayaja jaa..🙄🙄 kuna teja china au tanzania kakosa dawa za kulevya na pesa yake mkononi 😫😫😫 sibishanagi na wanawake zaidi ya mara mbili
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
ni satelite la starlink hizo mzee baba. tegemea kuona nyingi kila mara maana hata wachina nao wanarusha za kwao na makampuni mengine. zinakuwa kama ziko kwenye mstari
 
Kwa hiyo unadhani madawa ya kulevya ayaja jaa..🙄🙄 kuna teja china au tanzania kakosa dawa za kulevya na pesa yake mkononi 😫😫😫 sibishanagi na wanawake zaidi ya mara mbili
Hujielewi wewe China yamejaa madawa ya kulevya? au umeyajaza wewe na hizo drone zako ukiwa sebuleni kwa shemeji yako

WEWE UKISIPO ANGALIA STORY ZA VIJIWENI ZITAKUFANYA UWE MOKO YANI UJIFUNGIE CHUMBANI KWA SHEMEJI YAKO AFU UINGIZE MADAWA CHINA KWA DRONE KIRAHISI RAHISI TU ACHA KUSHINDA VIJIWENI
 
Hujielewi wewe China yamejaa madawa ya kulevya? au umeyajaza wewe na hizo drone zako ukiwa sebuleni kwa shemeji yako

WEWE UKISIPO ANGALIA STORY ZA VIJIWENI ZITAKUFANYA UWE MOKO YANI UJIFUNGIE CHUMBANI KWA SHEMEJI YAKO AFU UINGIZE MADAWA CHINA KWA DRONE KIRAHISI RAHISI TU ACHA KUSHINDA VIJIWENI
We kima sielimishi wanawake mimi tumia akili
 
We kima sielimishi wanawake mimi tumia akili
SAWA ENDELEA KUIJAZA CHINA MADAWA KWA DRONE HUKU UMEKAA SEBULENI KWA SHEMEJI YAKO WEWE NI KUPIGA TU PESA

SASA WA KUYADAKA UNAPOYATUPA KWA DRONE INABIDI UWE UNAWAAMBIA WANAKUWA SHARP KUYADAKA HAPO CHINA WAKATI WEWE BOSS UMEKAA TU SEBULENI KWA SHEMEJI YAKO BASTARD KABISA 😁
 
Hujielewi wewe China yamejaa madawa ya kulevya? au umeyajaza wewe na hizo drone zako ukiwa sebuleni kwa shemeji yako

WEWE UKISIPO ANGALIA STORY ZA VIJIWENI ZITAKUFANYA UWE MOKO YANI UJIFUNGIE CHUMBANI KWA SHEMEJI YAKO AFU UINGIZE MADAWA CHINA KWA DRONE KIRAHISI RAHISI TU ACHA KUSHINDA VIJIWENI
Hahahaha hiyo smuggling mission labda ya kwenye movie
 
Back
Top Bottom