Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Hivi iko kitendo cha Kupitisha mifumo yake kwenye anga la watu ni sawa kweli...

Huyo Elon anabaraka zote za kufanya hivyo nchini kwetu? naona sio vizuri kwa usalama na harakati zetu kama nchi.

Mi nadhani afuate sheria za nchi, hakukubaliwa kutoa huduma yake nchini si kwa bahati mbaya... Inakua haina maana hana huduma anayotoa lakini vifaa vyake vinaendelea ku-operate.
Hiyo kitu imeonekana mbali sana, ni nje kabisa ya hizi ndege zetu zinakopita.
 

Attachments

  • Screenshot_20241025_214104_Gallery.jpg
    Screenshot_20241025_214104_Gallery.jpg
    74.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom