sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
😳😳😳Target kuongeza makusanyo mkuu ila hapa naona ukwepaji wa aina yake wa kodi utaingia ili mradi hawana sura za kuonekana ni weusi!
Sijamuelewa Rais huyu anataka nini hadi kutuletea vitambulisho vyake. Mamlaka zinazohusika zilimpiga chini kwa matakwa yake ya vitambulisho visivyo kisheria. Anataka nini hasa, atutambue au anataka pesa ya kitambulisho?
Eti mwenye mtaji wa chini ya Mln 4 ndo awe nacho, nani anajua kama mimi mtaji wangu upo chinivya Mln 4?[/QUOTE
Hili ni dili lake.
Tenda uliwahi isikia ikitangazwa?
Ni mpumbavu tu anayeweza sadiki kuwa ni mradi wenye nia njema.
Ewe zuzu, ndiyo hapo utatambua umuhimu wa wahasibu.Sijamuelewa Rais huyu anataka nini hadi kutuletea vitambulisho vyake. Mamlaka zinazohusika zilimpiga chini kwa matakwa yake ya vitambulisho visivyo kisheria. Anataka nini hasa, atutambue au anataka pesa ya kitambulisho?
Eti mwenye mtaji wa chini ya Mln 4 ndo awe nacho, nani anajua kama mimi mtaji wangu upo chinivya Mln 4?
Pesa ya kulipa wakulima Wa korosho hiyo.Luna jamaa kampa plan ya chapchap baada ya kuwatelekeza wakulima Wa kusiniEwe zuzu, ndiyo hapo utatambua umuhimu wa wahasibu.
Pesa ya kulipa wakulima Wa korosho hiyo.Luna jamaa kampa plan ya chapchap baada ya kuwatelekeza wakulima Wa kusiniEwe zuzu, ndiyo hapo utatambua umuhimu wa wahasibu.
= 13,000,000,00025,000 x 26x20,000=
Hapo atakusanya fedha nyingi sana, jumla vitambulisho ni 670,000 ukizidisha bei ya kila kitambulisho sh 20,000 utapata jumla ya Tsh 13,400,000,000, fedha nyingi sana. Halafu mjasiriamali anayemlenga ni yupi hasa. Maana wafanyabiashara wengi wenye mtaji wa milioni 4 tayari wanalipa kodi TRA na wana leseni za biashara.Sijamuelewa Rais huyu anataka nini hadi kutuletea vitambulisho vyake. Mamlaka zinazohusika zilimpiga chini kwa matakwa yake ya vitambulisho visivyo kisheria. Anataka nini hasa, atutambue au anataka pesa ya kitambulisho?
Eti mwenye mtaji wa chini ya Mln 4 ndo awe nacho, nani anajua kama mimi mtaji wangu upo chinivya Mln 4?