sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Sijamuelewa Rais huyu anataka nini hadi kutuletea vitambulisho vyake. Mamlaka zinazohusika zilimpiga chini kwa matakwa yake ya vitambulisho visivyo kisheria. Anataka nini hasa, atutambue au anataka pesa ya kitambulisho?
Eti mwenye mtaji wa chini ya Mln 4 ndo awe nacho, nani anajua kama mimi mtaji wangu upo chinivya Mln 4?
Eti mwenye mtaji wa chini ya Mln 4 ndo awe nacho, nani anajua kama mimi mtaji wangu upo chinivya Mln 4?