Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Dar pia ni ivyo michongo ni kwa kujuanaMikoani watu wanakunja sana hawafunguki kama watu wa DSM...watu wa bara wengi ni wakunjaji...mfano unaweza anzisha duka sehemu wenyeji wakijua sio wa kwao raia hawaji...πππ
Upo mkoa gani mkuu?Serikali imeacha familia Dar ndio maana wanarudi sanaβ¦
Mkoa gani huo watu wanaenda nyumbani saa 2? Niko mkoani lkn nyumbani naendaga hata saa 10 alfajiri π€£
Basi tuseme na sisi wengine tuna sababu zinazopelekea Dar tupaone kawaida..
mm binafsi, lile jua linavyowaka + mafoleni mimi kwa kweli Dar nakuja Kupenzika na kusalimia π
6. Dar es salaam ndio sehemu pekee yenye mashoga wengi na mamende yaani watu wanafirana kama chakula yaan ukipenda vya bure huko utakutana na kifiro unarudi kwenu Nyamikoma ukiwa huna bikraUkiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.
Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.
Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.
1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).
2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.
3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.
4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.
5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.
Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Naomba connection mkuuKwa mfano hapo Sinza na K/ndoni vijana wanajichanganya na mapedeshee wanapiga deal haramu wakipata pesa chafu inatakatishwa kwa kuwekeza kwenye biashara halali
Mkuu naomba connection ya mishe yoyote isiwe ishu ya upunga na sembe tu yaani yoyote ile kasoro izo mbili tu sio lazima hapa hata tukienda pm sawaMkuu mimi namaanisha connection za kupambana..ie. kwenye ujasiriamali, vipo vitu vingi hakijawa exploited ni kuamua tu ujikite kwenye jambo gani na ufanye improvement gani maisha yanasonga kabisa...πππ
Oyaa jamaa kajenga bonge la mjengo huko Kigamboni [emoji16][emoji16]Ukishindwa kuja Dar jiandae kushindwa watu wanashangaa kumuona Martin Kadinda!
Mkuu naomba connection ya mchongoMakao makuu ya makampuni kubwa Tanzania yapo Dar. Hata kama main operations zipo mikoani.
Dar ina makao makuu ya benki zote Tanzania.
Balozi zote zipo Dar.
Dar ni njia panda ya Ulaya.
East Africa mpaka Congo & Zambia yote wanakuja kufunga mzigo Dar.
Ukijumlisha viwanja vya kula bata Dar, ni sawa na viwanja vya mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani combined.
Hao wabunge wenu wote wanaishi Dar.
Serikali imehamia Dodoma kimawazo ila mwili upo Dar.
Watu wanakimbia mashamba mikoani wanakuja kujazana dar. Dar ukichakarika buku buku huzikosi.
That city vibe is everything. The rest is history.
Kwakweli mijitu ya arushaa unajikuta mijanja..Subiri waje washamba wa Arusha wanavyotoa povu
[emoji16][emoji16][emoji16]harakati gani zitaje...
hakuna biashara yoyote inayofanyika dar na arusha isiwepo...ndo mana nimesema labda harakati zinazohusu bahari
[emoji2][emoji2]Kigamboni na temeke yooote, yooote kunguni wamejaa mpaka wanatembea kufuata Barbara.
Nimeka dar 22 years, hicho mnachokisifu sikioni
NakaziaNimekaa Dar miaka 10 , Pia Arusha . Ni kweli dar ni mkoa ambao umechangamka ila vijana wengi wenye mafanikio wanatoka kaskazin(hususan Arusha na K'njaro) nenda Kariakoo utajionea, Sasa ninyi mnaosema vijana wa Arusha ni washamba nashindwa kuwaelewa wakati ndio walioiteka hiyo dar, Arusha ni mkoa mzuri sana kuishi..Ukiwa Arusha ni kama vile uko mambele.
Acheni chuki binafsi na vijana wa Arusha ilhali ndio wameishika Dar.
Dar ndo ina wasomi wengi TanzaniaSema mitaa ya uswazi Dar ina watu wapumbavu sana wasiokuwa na elimu. Inawezekana Dar ndo ina watu wengi wasiojua kusoma na kuandika. Imagine mtu wa Dar anaenda kujenga nyumba bondeni halafu mafuriko yakija anaomba serikali imsaidie...!!! Mikoani ni ngumu sana kuona mtu anajenga bondeni
Njoo mkoani uishi ndo utaelewa, Mimi nimekulia Dar Ila KAZI mkoani naelewa anachoongea mtoa posti.. Dar ndo Tanzania yenyeweDar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Tatizo Dsm kuchafu sana, kunanuka.Sio kweli wanachojua ni kuiga america lifestyle
Kwani ukimwi unapatikana Dar tu? Twakimu zinaonesha mikoa ile yenye baridi kuwa kinara kwenye HIVDar ipi hiyo!? Au hii hilompa ndugu yangu UKIMWI tukajua kalogwa maana alikuwa anajifanya yupo juu kumbe hakuna kitu!! waganga wametulia hela weeee