Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Hahaha mkuu mbona umeandika kwa uchungu sanaaaSasa nenda kaishi njombe unapauka hadi k [emoji28]utakimbia mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu mbona umeandika kwa uchungu sanaaaSasa nenda kaishi njombe unapauka hadi k [emoji28]utakimbia mwenyewe
Huoni uspesho kwa sababu umezaliwa na kukulia Dar, hata waliozaliwa New York-USA the land of opportunity hawaoni uspesho wa kuwa USA.Dar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Arusha ni subset ya Dar ukitoa vitu vichache vya utalii.mkuu zaidi ya fly overs na bahari kuna nn kingine hakipo arusha?
Wanamanisha ukiwa mjasiliamali au ukaamua kujiajiri ni rahisi kutoboaMimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
Hujachakata mbususu huko ndio penyewe hawaringagi wanapenda hiyo kitu sanaNipo singida wiki ya pili sasa lakini nahisi nipo gerezani siku ziishe nirudi zangu daslam tu.
Ulitakiwa ukaishi Magu japo miaka miwili ndio unatajua utofauti wa Dar sehemu zingineDar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Nilishaishi mkoa mwingine nikaupenda zaidi ya DarUlitakiwa ukaishi Magu japo miaka miwili ndio unatajua utofauti wa Dar sehemu zingine
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
A sijaona pisi Huku Yani zote zimepauka kudadeki narudi na ugumu wangu tu dar nikapunguzie huko.Hujachakata mbususu huko ndio penyewe hawaringagi wanapenda hiyo kitu sana
Sasa unafananisha Geneva ya africa na mhuoSubiri waje washamba wa Arusha wanavyotoa povu