Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Huoni uspesho kwa sababu umezaliwa na kukulia Dar, hata waliozaliwa New York-USA the land of opportunity hawaoni uspesho wa kuwa USA.
 
Mimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
Wanamanisha ukiwa mjasiliamali au ukaamua kujiajiri ni rahisi kutoboa
 
Nipo singida wiki ya pili sasa lakini nahisi nipo gerezani siku ziishe nirudi zangu daslam tu.
 
Tulioishi Dar es salaam tunaelewa Mkuu, Uko sawa!
 
Vijana mmejazana hapa Dar mnafukuriwa mitaro marinda yamewaisha hamna nguvu mmebaki kutuita wanaume wenzenu Mkuu Kiongozi Boss... Manina zenu mbwa nyie msituone tupo mjini tulizaliwa Dar tukaenda mikoani kutafuta pesa tumezipata tumerud Dar kula maisha, tunawala mademu zenu hadi shangaz zenu...
Huna kazi hapa Dar kazi yako kulishwa na mume wa dada yako halafu unajiita unaish dar hauna tofaut na papai... Dar ni mji wa ku spend na kuinjoi maisha
 
Akili yako bado ndogo sana na inafanana na wale wanaosema mm nimezaliwa dar utaniambia nn dar tumekaa hapo.miaka ya kutosha endelea kupoteza muda hapo na kuhisi upo new York kama una issue ya maana kaa lakini kama wewe ni dar oyee tafuta fursa sehemu nyingine

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom